Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
MMh sasa kama betri iko down si lazima ufanye warming ya kutosha?
Sweety nimeelewa sasa.Hapana yeye anasema mtu asichukue dereva asojua kuendesha vizuri. ndio nikamwambia huwezi jua dereva mzuri mpaka akuendesha kwanza au nimekosea Uporoto01 babe!!!
Napenda dereva wangu anavoniendesha na gari yake kama vile imekatika centre bolt, yaani fujo tafrani lakini safari tunafika wote salama na kushuka wote
na yale yanayo miss miss kila dk moja lol
duh... hii kali......inategemea na unapokwenda.
kama njia haina road blocks, Speed limit wala diversions,...utajichelewesha na nini? ...moto bati, spidi 120 hata kwenye kona!....hakuna cha speed governor hapo!...ila ni bora kwa safari hizo ukishafika, unaiacha kwenye silence kusubiria abiria ashuke!
duh... hii kali...
sababu zaweza kuwa nyingi ati
gari linakoza mno kiasi kwamba safari chapchap
gari halina mvuto inabidi afike kimawazo tu yaishe
gari halipati moto upesi, choke imekula milleage
dereva hayuko sirias
dereva ni wale wa fululu-fululu
gari halina hata taa moja inayoonyesha hali yake mf. injini oil, lubricants wala taa za hassards
dereva muonevu
dereva ana matatizo ya macho
gari halina road licence
dereva hana leseni
... the list goes on
utamu wa bittle ni size na ile injini kuwa nyuma mazee... haina kelele wala nini, tartiiibu hadi kufikadah, haya magari haya lol.....?
BTW:Nimekumbuka bito yangu ya zamani lol......
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
<br />mambo zipi Mwanakili90
Hawa wandugu wanaleta habari za madereva wa mwembeni humu si kila anayeweza kubadilisha gia ni dereva udereva hauangaliwi usoni.... chukueni madereva wenye ujuzi na kuipenda kazi yao!!!
Babu Lao utajuaje dereva anaendesha vibaya au vizuri bila ya kuendeshwa kwanza?
Duh mtoto washafumua buti la gari hilo duhYaani hata ugumu wa kuendesha semi trailler lile la kuvuta nyuma yeye anaweza kwa umahiri mkubwa, yaani ushawahi kuona semi trailler linakatiza mitaa ya sinza wewe! imagine inapita ya kwake
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
BB......Semi tellar ni lile linalokaa nyuma eh?
utamu wa bittle ni size na ile injini kuwa nyuma mazee... haina kelele wala nini, tartiiibu hadi kufika
kama gari ni bovu, dereva kukata kona mpaka ang'ate meno coz of usukani mgumu na wenye
kutu, then lazima akatishe safari kwani gari halina ushirikiano.
...inategemea na unapokwenda.
kama njia haina road blocks, Speed limit wala diversions,...utajichelewesha na nini? ...moto bati, spidi 120 hata kwenye kona!....hakuna cha speed governor hapo!...ila ni bora kwa safari hizo ukishafika, unaiacha kwenye silence kusubiria abiria ashuke!