Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Anyway, ukikuwa utaelewa kuwa gari ni KIFAA CHA KUSAFIRIA kama ilivyo Baiskeli.
Ukifika kwa Waholanzi ndiyo utapanuka akili na kuelewa ninasema anini.
Mwisho wa siku, yeye alikwenda na kurudi salama na wewe unaenda na kurudi salama.
Gari ni TOY la watu wazima. Sasa kuona mtu anatambia TOY, ni kituko.
Maadamu upo UK, hasa ukiangalia hiyo miti na mazingira, walau ungelikuwa na ASTON MARTIN....
Have good day with your AUDI....., HITLER'S Car.
Ukifika kwa Waholanzi ndiyo utapanuka akili na kuelewa ninasema anini.
Mwisho wa siku, yeye alikwenda na kurudi salama na wewe unaenda na kurudi salama.
Gari ni TOY la watu wazima. Sasa kuona mtu anatambia TOY, ni kituko.
Maadamu upo UK, hasa ukiangalia hiyo miti na mazingira, walau ungelikuwa na ASTON MARTIN....
Have good day with your AUDI....., HITLER'S Car.
Ndugu yangu,
Utajiri huja kwa namna nneSera yangu ninapopata faida ni kununua kile nikipendacho kama hiyo Q7....na kusaidia wasio na bahati na kipato
- Ubahili(kama wa huyo Buffet na hao wengine)
- Bidii(kama yangu)
- Bahati
- Dhulma
Last edited by a moderator: