Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Kwa Bw. Ndugai kudai bunge lisionyeshwe Live alikuwa ana moja yake kichwani, na mojawapo ni kama hilo. Hata kama wakiwanyima watanzania haki ya kuona shughuli za kibunge kupitia Luninga live, kuna wabunge wengine wazalendo kama Deo Fikulunjombe watahitaji uwajibikaji wa bunge bila kuangalia itikadi za vyama.