Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Kama Haumjui Deo filikunjombe nenda ludewa.
Jamaa ameshajua safari yake na Magamba imekuwa nzito baada ya kutambua miguu haina nguvu tena ya kukimbia. Deo amejikuta akiwa na ugomvi kila mara na watendaji wa halmashauri kwakuwa hawakufanya kile alichokitaka wakati wa uchaguzi "Ushindi wa Kishindo" ile nae aonwe walau apewe kawizara aka "ulaji" Deo alishiriki katika hila mbali mbali ikiwa ni kumnunua mwenyekiti wa chadema Ludewa na kumtangaza Mpinzani ambaye hakuwa anakubalika.......wakati CC ilimtaka mwingine.... Deo ndio amelobby Mradi wa Umeme na Maji uwe katika Kata ya wazazi wake kwa kutumia influence yake na ukaribu na wazungu.....Deo toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzako......
Jamaa ameshajua safari yake na Magamba imekuwa nzito baada ya kutambua miguu haina nguvu tena ya kukimbia. Deo amejikuta akiwa na ugomvi kila mara na watendaji wa halmashauri kwakuwa hawakufanya kile alichokitaka wakati wa uchaguzi "Ushindi wa Kishindo" ile nae aonwe walau apewe kawizara aka "ulaji" Deo alishiriki katika hila mbali mbali ikiwa ni kumnunua mwenyekiti wa chadema Ludewa na kumtangaza Mpinzani ambaye hakuwa anakubalika.......wakati CC ilimtaka mwingine.... Deo ndio amelobby Mradi wa Umeme na Maji uwe katika Kata ya wazazi wake kwa kutumia influence yake na ukaribu na wazungu.....Deo toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzako......