Marekani ina deni la usd 15,000,000,000,000 ambalo kwa tz ni sawa tsh 225,000,000,000,000,000/-
Na ukimpa mtu azihesabu hizo noti za elfu kumikumi noti 1,440,000,000 bila kupumzika (24hrs) kwa wastani wa sekunde moja kila noti, atatumia miaka 45(400,000 hours) kumaliza kuzihesabu hizo noti (kama atapumzika itakuwa ni zaidi ya 45yrs) sijui kama atakuwa hai? maana life expectancy ya mtanzania ni 52yrs.
Hii ni kujaribu kuhalalisha upuuzi kwa kutumia mapungufu ya wenzenu, wamelipata deni hilo katika harakati za kupambana na economic recession kwa asilimia kubwa, nyie hilo deni lenu mmelipata kwasababu ya nini? Budget yao 100% ni mapato ya serikali (Independent budget) Nyie budget yenu inakuwa subsidized na mataifa ya nje kwa kiasi gani?Marekani ina deni la usd 15,000,000,000,000 ambalo kwa tz ni sawa tsh 225,000,000,000,000,000/-
Marekani ina deni la usd 15,000,000,000,000 ambalo kwa tz ni sawa tsh 225,000,000,000,000,000/-
Hebu tamka hizi figures kwa lugha rahisi. Hizo sifuri ndo tatizo aisee
Trillioni laki mbili na ef ishirini na tano za kitanzania,kwanza cha msingi inabidi tujue je hilo deni linashikiriwa na akina nani?asilimia ngapi wanadai watu wa nje na asilimia ngapi wanadai watu wa nje?hapo ndo ntawaelimisha kuhusiana na madeni ya nchi afu ukizingatia nipo dar
Hivi si tunaidai nchi yoyote duniani? (kitu chochote kile)
Hivi si tunaidai nchi yoyote duniani? (kitu chochote kile)
Tunadai wale twiga na yule mjusi (dinosaur) wetu kule Germany
Tunadai suti kadhaa
Labda na Uganda au ilikuwa vita ya ukombozi? Na hili deni linalipwaje? Niko tayari kulipa la kwangu na familia yangu na ole wao ukute mtu alinyofoa kwenye mkopo tuliopewa akaweka Uswisi laana itampatiliza.
kwepo kwa dar inasaidia nini,acha kutoa maelezo yasiyo na msingi na acha kukwepo swali,ishu ni kwambaTrillioni laki mbili na ef ishirini na tano za kitanzania,kwanza cha msingi inabidi tujue je hilo deni linashikiriwa na akina nani?asilimia ngapi wanadai watu wa nje na asilimia ngapi wanadai watu wa nje?hapo ndo ntawaelimisha kuhusiana na madeni ya nchi afu ukizingatia nipo dar