Hilo ni deni la nje, bado la ndani. Yaani alichoongea Mhongo eti tushawishike kuwa deni ni kubwa kwa sababu ya nishati. Hilo deni ni kubwa kwa kuwa hata miradi ya barabara, na miradi mingine isiyokuwa na uharaka imefanywa kwa fedha hizo za nje. Mwishoni mwa muhula jamaa atajigamba ameleta maendeleo, kumbe amekopa fedha za watoto na wajukuu zetu. Hii no dhambi kubwa. Ben alifanya kazi kubwa ya kukusanya kodi, kujenga barabara zetu, na kulipa madeni. Huyu jamaa wa sasa anasafiria kodi zetu, anakopa mabenki ya ndani kulipa mishahara ya watumishi anakopa nje ajenge barabara na miradi mingine. Kweli tunahitaji kiongozi mwenye maono.