Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
Sasa deni la Tanzania limefika Trilioni 22 sasa tunaambiwa tunadaiwa sasa kwani ile misaada Jk anayopitisha bakuli ndo madeni haya au kuna kwingine wanakokopa? Kwa matumizi ya nani?
Source: Star tv habari
============
Jan 2014:
Kila raia Tanzania anadaiwa 600,000/-. Deni la Taifa lafikia trillion 27.04
e
Mkuu wasiliana nami nitapokea bila kinyongo...Nahisi kuhama. duniani nani anapokea deni nalodaiwa maana yawezekana nikaondoka hapa TZ kabla sijalipa deni langu.