dasenior
Senior Member
- Jul 24, 2012
- 138
- 56
Ni kati ya mademu wawili na kila mmoja anatabia yake,na mbali na hao niliwahi kuwa nao zaidi ya hao wa3 ila kupitia mchujo wangu hiyo ndiyo top2 yangu!,...
Sifa zao ziko hivi;-
1-anadeka halafu 24h/week anataka akipiga tu akupate na umpigie muongee tu hata kama hamna la maana la kuongelea,tofauti na hapo atalia weeeh!!
2-anawivu kiasi kwamba kila ninapotaka kwenda nae awepo pembeni,ukisalimiana na mtu awe wa kike/kiume atataka aujue ukaribu wenu uko vipi na siku ukimuacha peke yake atanuna weeeh siku nzima!!!!!!?
"sijui yupi atafaa kwa vigezo hivyo eti?"
Sifa zao ziko hivi;-
1-anadeka halafu 24h/week anataka akipiga tu akupate na umpigie muongee tu hata kama hamna la maana la kuongelea,tofauti na hapo atalia weeeh!!
2-anawivu kiasi kwamba kila ninapotaka kwenda nae awepo pembeni,ukisalimiana na mtu awe wa kike/kiume atataka aujue ukaribu wenu uko vipi na siku ukimuacha peke yake atanuna weeeh siku nzima!!!!!!?
"sijui yupi atafaa kwa vigezo hivyo eti?"