Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
hahaha! Mapovu? Ndahani mimi na wewe nani sasa ambae ni mkorofi?
Mapovu ya sabuni. Wengine wanashida asikwambie mtu. Ila waafrika hatupendi kusema matatizo yetu mbele ya watu .
hahaha! Mapovu? Ndahani mimi na wewe nani sasa ambae ni mkorofi?
umeona masifa, uwezo wake wote ni kununua opa, lakini anavyojinadi utafikiri sijui nini...hawa ndo wale ukiwakuta bkb wanakwambia nimeshuka na ndege sasaivi toka dsm kumbe siku mbili alikuwa anasafiri na basi la sumri tena nauli alikopa...hahaha. masifa kibao kumbe hamna lolote. kwa taarifa yako, humu ndani wapo watu wengi wana uwezo si wa kununulia mtu opa, ila vx..lakini wamenyamaza kimya tu...we kama umeshindwa kutafuta madem sema watu wakusaidie, usihangaike kujieleza sanaa ati nataka tu kuzaa naye etc....
Hahaha!
Mtoto wa kike,maana nina midume tupu.
Wewe hutaki gari . . . .????
I swear kwa dharau hizi kwam mama zetu Mungu hatakupa mtoto wa kike ukipa rudi hapa ntakupa zawadi ya maana kuliko hiyo opa
huwa tunasemaga kaletwa Mwanza na meli kapelekwa Dar na treni
Wewe hutaki gari . . . .????
Haya mabinti bahati yenu hiyo sasa,aliyetayari pls aniwekee PM.
SIFA
Asiwe mlevi.
Awe mrembo.
Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
Awe tayari kuishi na mimi mpaka atakapopata mimba,baada ya hapo mkataba wetu utaisha na atabeba kilichochake na kuondoka ntabaki kutoa pesa ya matumizi ya mtoto kwa miaka2 kisha anikabidhi mwanangu.
Awe anajua mapenzi.
Awe mkarimu kwa ndg zangu na marafiki.
Umri kuanzia 16-35yrs.
Awe tayari kupima H.I.V.
Sina ndoto za kumuoa,mie lengo langu ni kunipatia mtoto tuu basi.
Umri wangu ni 33yrs.
Kuishi kwingi kuona mengi, tayari unao 4 different mothers sasa wataka wa nini na ni kipi hiki kinachotafutwa.
Wewe hutaki gari . . . .????
WAKE UP DUDU JEUSI, have confindent with your self! After all every one else does! stop whinning! life is too short to complain! wife/kids/jobs and friends will not give you the sastifaction you are craving for! All that doesn't give happiness, infact they will add to your problem. Search God, But seek yee the kingdom of God and his rightouesness and this other things shall be added to you. You sound pathetic that people would keep away from you.
kwa kukusaidia ngoja nimwite Asprin aje kukusaidia.najua ye atakupa hadi picha za wadada ujichagulie mwenye sifa unazozitaka.weeeee Asprin njoo huku umsaidie DUDU JEUSI anataka demu wa kuzaa naye.Haya mabinti bahati yenu hiyo sasa,aliyetayari pls aniwekee PM.
SIFA
Asiwe mlevi.
Awe mrembo.
Asiwe mrefu sana wala mfupi sana.
Awe tayari kuishi na mimi mpaka atakapopata mimba,baada ya hapo mkataba wetu utaisha na atabeba kilichochake na kuondoka ntabaki kutoa pesa ya matumizi ya mtoto kwa miaka2 kisha anikabidhi mwanangu.
Awe anajua mapenzi.
Awe mkarimu kwa ndg zangu na marafiki.
Umri kuanzia 16-35yrs.
Awe tayari kupima H.I.V.
Sina ndoto za kumuoa,mie lengo langu ni kunipatia mtoto tuu basi.
Umri wangu ni 33yrs.
Hahaha!
Mtoto wa kike,maana nina midume tupu.
Suluba gani kwani kimwana?mm si ninapata na wewe unapata au?suluba zote hizo kwa kagari hako mshenzi?
gari ni nini hata mi machinga naweza nunua mwenyewe!!!
Si OPA au?unategemea nini kizuri kutoka kwa dudu tena jeusi? definitely ni kila aina ya madudu na uchafu!
Mwambie pls!kwa kukusaidia ngoja nimwite Asprin aje kukusaidia.najua ye atakupa hadi picha za wadada ujichagulie mwenye sifa unazozitaka.weeeee Asprin njoo huku umsaidie DUDU JEUSI anataka demu wa kuzaa naye.
Ushauri pls!Nafikiri itakuwa somo la biology ulikuwa unaruka dirishani. Mbegu zako zote ni Y hata ubadili wanawake 50 hutapata wa kike.
Dudu we nouma