Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
by the way,nikikufanyia UDALALI nikuletee mtoto mmoja safi toka SHIVAS(ni maeneo flani ya uzunguni huku arusha mabinti wa hapo ni wazuri kwa umbo na tabia)inaruhusiwa?mi ujira wangu wa udalali nikipata bodaboda moja tu itatosha!uko tayari niwahi shivas fasta?