Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
do you want to escape from Sobibo?
Escape from Rwanda, lol.
do you want to escape from Sobibo?
Kula halafu mkipata ukimwi mfe wote.
do you want to escape from Sobibo?
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please
Pole kqaka! Jibu sahihi ni kumkwepa! Tafuta kila sababu umkwepe!huo ni uzinzi mbaya.Hapa tu jf brother yako ameishakusoma full,anaweza kukufatiliya hiyo ijumaa mpaka anawakuta live mkiwa km mlivyozaliwa.Zinaa siku zote ikimbie!ili tufe wote vizuri....akili haisomi hapa akija sijui itakuaje? na nikimwaga atamwambia ujinga bro, wanawake masheitwan
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please