Walikutana knye shoo kazini kwa mshua, kuna siku walikuja kutoa burudani knye part ofsini kwao jamaa akafika bei, mwanzoni ilikuwa anaenda shoo siku 4 kwa wk ila kwa sasa ni kila siku akija amechoka hapat huduma had j2
Wapendwa kuna mpangaji mwenzangu kapata demu mcheza shoo anampenda sana tatizo huyu demu kila cku anarud saa 9 au 10 alfajiri na anakuwa amechoka sana kutokana na kaz yake ya kukatika majukwaani, anaomba ushauri kwani anataka kumuacha mshua ni mwajiriwa sasa muda wa kuwa nae hana ni wk end tu tena asubuh had mchana jioni kama kawa anasepa knye kukatika, demu hatak kaz nyingne. Afanyeje?
like it!!!!!Itabidi jamaa ajiunge kwenye bendi anayochezea shoo(UKIPENDA BOGA....................................)
Ukipenda mboga ya maboga upende na boga lakeWapendwa kuna mpangaji mwenzangu kapata demu mcheza shoo anampenda sana tatizo huyu demu kila cku anarud saa 9 au 10 alfajiri na anakuwa amechoka sana kutokana na kaz yake ya kukatika majukwaani, anaomba ushauri kwani anataka kumuacha mshua ni mwajiriwa sasa muda wa kuwa nae hana ni wk end tu tena asubuh had mchana jioni kama kawa anasepa knye kukatika, demu hatak kaz nyingne. Afanyeje?
Ndugu yangu, si unajua kuwa kipenda roho hukla nyamba mbichi? basi, achana na kazi unayoifanya sasa hivi, jifunze na wewe kucheza shoo, ukishafuzu mtaendana tu