Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Wapendwa kuna mpangaji mwenzangu kapata demu mcheza shoo anampenda sana tatizo huyu demu kila cku anarud saa 9 au 10 alfajiri na anakuwa amechoka sana kutokana na kaz yake ya kukatika majukwaani, anaomba ushauri kwani anataka kumuacha mshua ni mwajiriwa sasa muda wa kuwa nae hana ni wk end tu tena asubuh had mchana jioni kama kawa anasepa knye kukatika, demu hatak kaz nyingne. Afanyeje?