What up jf, how waz xmas? op was ok! katika heka heka za maandalizi ya xmas nkakutana na manzi m1 mkali, nkampiga somo akalielewa kama wanafunzi wanavyoelewa reproduction katika biology! ila wasi wasi wake hataki nimwache! na mimi niko ki-butterfly zaidi! afu mbaya manzi ka-draw attention mazima! eti nisubiri mpaka next yr nikusome zaidi! nmkaribishe geto nmle kwa nguvu nn?
shudu utalijua tu!
Dogo (uso wa bidhaa za vingunguti) si ujisongeshe mdogo'mdogo kwenye majukwaa uliojinakshi kwayo? Hapa umetuletea biashara VIAZI haviuziki ! Vimekukamata! Wanunuzi hakuna! Utatuuzia kwa bunduki ? Labda! Uza kwa kupanga chini mafungu! Jumlajumla vinakuozea!
Masela msijenge chuki huu ni wangu mtizamo!
wa mada za ngono na uhusiano kama mlivyozoea!
ndo mada zenu iz! za ma-graduate!
kweli baba, ndo maana unachangia mmu na xio siasa,edu,dr etc! memory card haipo kabisa, bora ingekua upande ningerekebisha!
Acha kulazimisha nikushushe daraja zaidi basi. . . jipe mapumziko ya muda.
Toka wameanza kunishauri, we ndo atleast kama ni marks umevuka boda!
Haikurekebika asubuhi ! Mchana kweeupe, bado Ng'ombe wanakula majani? Itarekebika usiku Ng'ombe washatoka machungani ? Pindipo na mwezi uko gizani? Kumbe macho ya Nazi ma 3 yana faida gani?
Pumba a.k.a shudu once again!