Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,887
- 1,193
Acha janja ya sungura ya sizitaki mbichi hizo!! Maneno yako ni ya mkoswaji tu.nimemind sana mtoto mkali ananitabasamia halafu rafiki baya limenibania linamwambia aachane na mimi halafu limeniangalia kwa pozi!hivi ni kweli midemu mibaya inaringa au ni wivu tu kwasababu hawatokewi?nimemind sana leo....