aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,220
Dah, kwakweli nimesoma hiyo story yako. Imemikumbusha just exactly pattern of my versions of story. Tofauti tu sjjawahi kufika nae mbali, pamoja nilimpenda kupita kiasi. Kuna wakati mpka leo ananijia ndotoni nami nimeshaoa.
To keep the story short, nilijaribu kumtafuta baada ya kupotezana. Lakni alinidanganya kwamba ameolewa, yaani visa tu. Nikaona kama vile ananichukia for no apparent reasons. Basi, nikaona iswe tabu nikamove on. Lakni ni mtu niliyempenda wa kwanza, and i really wished ningemwoa lakni nimekutana na mtu anayenipenda zaidi yake.
Ushauri wangu. Wewe move on, tena ukitaka uwe strong and with courage. Confront her and tell her how you felt about her. Usije fanya kosa, kurudiana nae. Mkuu utakuwa kichaa nakuambia. Akilia mbele yako just mbembeleze and go away.
Wanawake hawajui watakalo. Wako very opportunistic and goal oriented. Sisi kwakweli tunapenda na tunajua tukipenda.
Nakutakia kila la kheri Mungu akupe yule hitaji la moyo wako.
To keep the story short, nilijaribu kumtafuta baada ya kupotezana. Lakni alinidanganya kwamba ameolewa, yaani visa tu. Nikaona kama vile ananichukia for no apparent reasons. Basi, nikaona iswe tabu nikamove on. Lakni ni mtu niliyempenda wa kwanza, and i really wished ningemwoa lakni nimekutana na mtu anayenipenda zaidi yake.
Ushauri wangu. Wewe move on, tena ukitaka uwe strong and with courage. Confront her and tell her how you felt about her. Usije fanya kosa, kurudiana nae. Mkuu utakuwa kichaa nakuambia. Akilia mbele yako just mbembeleze and go away.
Wanawake hawajui watakalo. Wako very opportunistic and goal oriented. Sisi kwakweli tunapenda na tunajua tukipenda.
Nakutakia kila la kheri Mungu akupe yule hitaji la moyo wako.