ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 421
Wakuu mimi nilikuwa nimemaliza shule ya msingi mwaka 1997,mapambano primary School, mjini Dsm. Nilikuwa nasoma na Mtoto mmoja mkali sana yaani mzuri wa sura. lakini kipindi hicho alikuwa rafiki yangu tu wa kawaida. Baada ya Darasa la saba me nilifaru kwenda AZANIA Sec. School. yule binti alikuwaalichaguliwa kwenda kisutu Sec. School.
Lakini me wazee wakamua niende Maua Seminary, Na yule binti akaenda kifungiro. wakati huo tulikuwa tuna wasiliana kama marafiki tu wakati wa likizo. baada ya kumaliza o"level yule binti akapelekwa Loleza, me nilipangiwa Songea boys High school but nikaamua kwenda Sangu high school Mbeya. Nikakutana na yule binti Mbeya ,
Basi tukaanza mahusiano ya kimapenzi mwaka huo. tulikuwa wote tunarudi likizo pamoja na wote tunaenda shule pamoja tukifika mbeya kila mtu anaelekea shuleni kwake.Tuliendelea na mahusiano na kila mtu akijitahidi kwenye masomo. Me nilikuwa nasoma PCM na yeye CBG.
Matokeo ya advance Tukafauru na kajiunga na Chuo Udsm. B.Eng Computer Engineering and IT yeye alipata kuajiliwa na PEA COCK Hotel kabla ya chuo kuanza.(kumbuka miaka hiyo tulikuwa tunakaa mwaka mmoja kabla ya kujiunga na chuo tofauti na sasa watu wanaunganisha.)
Me niko shule yeye yupo kazin ,akaanza kuniletea mapozi kila kimtafuta alikuwa yupo bize sana, nilikuwa najikaza ikafika kipindi nikimpigia mpaka simu hapokei. Basi nikachukulia easy.
na mimi mwaka ule ule nikapata Schoraship ,ya kwenda kusoma Urusi nikaacha udsm nikaenda urusi kusoma kozi ileile Computer Science Engineering. kozi yanguilikuwa ya miaka mitano.nilipomaliza mwaka wa kwanza urusi, nikaja Dsm kutembea likizo nikamtafuta yule binti kwa bidiii zote nikaenda kwao nikawakuta wazazi wake nikamuulizi bcoz walikuwa wananijua walinikalibisha wakaniambia mwenzako amehama amehamia kimara amepanga. wakanipa namba yake.
Baada ya kunipa namba yake nikampigia ,nikajitamburisha kwa kweli alinikumbuka akasema yupo bize kidogo nimpigie baadaye.
Baadaye nikampigia tena ,akaniambia yupo ndani ya gari akishuka atanipigia ,nikasubiri nikaona apigi. Baadaye niakamua nimpigie ikapokelewa ile simu lakini ni sauti ya mwanamke mwingine ikisema " we ni nani mwenye simu hayupo" nikajitamburisha ,akaendelea kusema " wewe ndiye unataka kuharibu ndoa ya wifi yangu na kaka yangu" nikawa pazzled , sijakaa sawa nikapigiwa mimi ikasikika sauti ya mwanaume " wewe ndiye unamsumbua mke wangu" nika changanyikiwa zaidi. Nikaanza kujiuliza hivi huyu binti ameshaolewa mbona nimeenda kwao hawajanipa hiz taarifa,nilisikitika sana coz nilimpenda sana huyu mdada.
likizo ilikuwa imeisha nikarudi zangu Urusi, nikaa kule mpaka nimemaliza Chuo, miezi mitatu kabla sijamaliza chuo nilikuwa nachati kwenye Marafiki.com . Bahati nzuri nika mkuta yule bint online kwa jina lake lile lile ,me nilikuwa natumia nickname . Nikamuuliza wewe ndiye X akanijibu kama ifutav
nimelitoa jina mutanisamehe.nimeliita (X).
Nikamuuliza umeshawahi kuishi Mbeya?
akajibu:
Lakini me wazee wakamua niende Maua Seminary, Na yule binti akaenda kifungiro. wakati huo tulikuwa tuna wasiliana kama marafiki tu wakati wa likizo. baada ya kumaliza o"level yule binti akapelekwa Loleza, me nilipangiwa Songea boys High school but nikaamua kwenda Sangu high school Mbeya. Nikakutana na yule binti Mbeya ,
Basi tukaanza mahusiano ya kimapenzi mwaka huo. tulikuwa wote tunarudi likizo pamoja na wote tunaenda shule pamoja tukifika mbeya kila mtu anaelekea shuleni kwake.Tuliendelea na mahusiano na kila mtu akijitahidi kwenye masomo. Me nilikuwa nasoma PCM na yeye CBG.
Matokeo ya advance Tukafauru na kajiunga na Chuo Udsm. B.Eng Computer Engineering and IT yeye alipata kuajiliwa na PEA COCK Hotel kabla ya chuo kuanza.(kumbuka miaka hiyo tulikuwa tunakaa mwaka mmoja kabla ya kujiunga na chuo tofauti na sasa watu wanaunganisha.)
Me niko shule yeye yupo kazin ,akaanza kuniletea mapozi kila kimtafuta alikuwa yupo bize sana, nilikuwa najikaza ikafika kipindi nikimpigia mpaka simu hapokei. Basi nikachukulia easy.
na mimi mwaka ule ule nikapata Schoraship ,ya kwenda kusoma Urusi nikaacha udsm nikaenda urusi kusoma kozi ileile Computer Science Engineering. kozi yanguilikuwa ya miaka mitano.nilipomaliza mwaka wa kwanza urusi, nikaja Dsm kutembea likizo nikamtafuta yule binti kwa bidiii zote nikaenda kwao nikawakuta wazazi wake nikamuulizi bcoz walikuwa wananijua walinikalibisha wakaniambia mwenzako amehama amehamia kimara amepanga. wakanipa namba yake.
Baada ya kunipa namba yake nikampigia ,nikajitamburisha kwa kweli alinikumbuka akasema yupo bize kidogo nimpigie baadaye.
Baadaye nikampigia tena ,akaniambia yupo ndani ya gari akishuka atanipigia ,nikasubiri nikaona apigi. Baadaye niakamua nimpigie ikapokelewa ile simu lakini ni sauti ya mwanamke mwingine ikisema " we ni nani mwenye simu hayupo" nikajitamburisha ,akaendelea kusema " wewe ndiye unataka kuharibu ndoa ya wifi yangu na kaka yangu" nikawa pazzled , sijakaa sawa nikapigiwa mimi ikasikika sauti ya mwanaume " wewe ndiye unamsumbua mke wangu" nika changanyikiwa zaidi. Nikaanza kujiuliza hivi huyu binti ameshaolewa mbona nimeenda kwao hawajanipa hiz taarifa,nilisikitika sana coz nilimpenda sana huyu mdada.
likizo ilikuwa imeisha nikarudi zangu Urusi, nikaa kule mpaka nimemaliza Chuo, miezi mitatu kabla sijamaliza chuo nilikuwa nachati kwenye Marafiki.com . Bahati nzuri nika mkuta yule bint online kwa jina lake lile lile ,me nilikuwa natumia nickname . Nikamuuliza wewe ndiye X akanijibu kama ifutav
nimelitoa jina mutanisamehe.nimeliita (X).
Nikamuuliza umeshawahi kuishi Mbeya?
akajibu:
Nikamwabia me nipo Urussi ,kwa kweli alikuwa anajua kama mimi bado niliendelea Udsm,hakujua kama niliacha pale nikamwambia wewe ni (X),akanijibu:
| ||||