Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
Ikiwa ni mwaka wa pili sasa baada ya Slaa kushindwa kuingia Ikulu katika uchaguzi mkuu uliopita, mbinu mpya aliyokuja nayo ni kutoa matamko yanayowatia hofu wananchi juu ya hali ya usalama wa maisha yao na mali zao...hawezi kutoa tamko kuwambia Watanzania jinsi walivyojipanga kutengeneza ajira kwa vijana na kuonyesha njia jinsi watakavyojenga uchumi bora.