Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

wanabodi.

Chama cha demokrasia na maendeleo (chadema)..

Kimejikita zaidi kwenye vurugu na watanzania sasa wameamini maneno ya katibu mkuu wa chadema, dr slaa..

Akiapa kwa uchungu kwamba watahakikisha nchi haitawaliki.

Hata kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo chadema imeshinda aidha ubunge au udiwani, wabunge na madiwani hao walioshinda kwa tiketi ya chadema..

Hawafanya lolote chanya la kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wanaendesha mivutano isiyoisha wakipinga hata yasiopingika..

Wabunge wa majimbo ya kawe (halima mdee), ubungo (john mnyika). (tundu lissu) singida, (lema) arusha (wenje) mwanza..

Hawakai majimboni mwao wala hawana mpango wowote na wapiga kura wao, badala yake wamejikita kuteleza mikakati ya chadema makao makuu wanazunguka nchi nzima kuhamasisha watanzania wasigane na serikali ili hatimaye nchi isitawalike..

Huko mbeya nako moto umewaka lakini kwa staili ile ile ya watu kusigana na serikali pasipo sababu za msingi..

Mbunge wa mbeya mjini anaitwa kwa jina la sifa mr. Sugu, amepewa sifa nyingine ziada inayozidi cheo cha ubunge, anaitwa rais wa mkoa wa mbeya, je, huu sio uhaini?

upinzani wa godbless lema, na tundu lissu, dr slaa, freeman mbowe, haufai na unadhirisha wazi kwamba wahusika hawakupitia darasa la urai..

Uko wapi uzalendo wa watanzania wenzetu!

safi sana "anaitwa kwa jina ......... Amepewa sifa................. Sasa uhaini unakujaje hapo? Ni uhaini kwa sababu hajatangaza hadharani kulikataa jina hilo analoitwa na sifa alizopewa? Una mshauri ni katika hilo ili asiwe haini?
 
Dah! Kumbe hata kurugenzi ya habari haikunielewa? Tusome mada kwa utulivu kabla ya kukurupuka kuchangia. Mimi ni CDM na maoni niliyotoa ni ya kujenga. Labda tungejua tofauti kati ya demokrasia na maendeleo ndio tungejua msingi wa hoja yangu. Nasema hivi, kwa hali ya sasa tukubali kukumbatia demokrasia ili kila mmoja ajiachie atakavyo kisa tu yuko huru kutoa maoni, kutaka uongozi, na kujifanyia mikutano atakavyo? Au tuzingatie maendeleo ambapo itabidi haki za wengine ambazo hazina msingi sana ziminywe ili tusonge mbele? Nionavyo kwa sasa ni kuwa hakuna sababu ya kusema pawepo na uchaguzi wa ngazi za juu za chama kisa tu kujenga demokrasia ndani ya chama wakati mambo yanatokota nje na ndani. Kwa maoni yangi ni kwamba tipumzishe kwanza demokrasia. Na ndicho kilichofanywa na chama kwa sasa.

cc: POMPO, WABHEJASANA, zambez, Molaro, Tiba, Tumaini Makene, fikirikwanza, kayamgo, nkongu ndasu, assadsyria3, tajirijasiri

OOOh! pole sana, at Raia Fulani. Maoni yangu niliyatoa kwenye thread nyingine kabisa tofauti na hii, lakini kwa sababu iliunganishwa na hii yako, ndiyo maana maoni yetu yanaonekana kama yanakupinga mheshimiwa. Nadhani sasa MODS waone nini hasara ya kuunganisha threads, wanasababisha misunderstandings kwenye forum! Nadhani hata hao wenzangu umeona maoni yao kama huyaelewi elewi about your thread! Ni kwa sababu ya kuunganishwa kwa threads! POLE SANA!
Thread niliyochangia kwa kupinga ni hii "CHADEMA hakuna demokrasia ya kweli".
 
OOOh! pole sana, at Raia Fulani. Maoni yangu niliyatoa kwenye thread nyingine kabisa tofauti na hii, lakini kwa sababu iliunganishwa na hii yako, ndiyo maana maoni yetu yanaonekana kama yanakupinga mheshimiwa. Nadhani sasa MODS waone nini hasara ya kuunganisha threads, wanasababisha misunderstandings kwenye forum! Nadhani hata hao wenzangu umeona maoni yao kama huyaelewi elewi about your thread! Ni kwa sababu ya kuunganishwa kwa threads! POLE SANA!
Nimekusoma mkuu. Nilikuwa sipati picha mada inaendaje.
 
Hakuna jeshi ambalo ktkt ya mapigano linabadilisha kamanda, halipo, CDM viongozi wanaendelea mpaka kieleweke maana mapambano yako ktkt. Demokrasia sio kishindwa kutambua nyakati
 
Hakuna jeshi ambalo ktkt ya mapigano linabadilisha kamanda, halipo, CDM viongozi wanaendelea mpaka kieleweke maana mapambano yako ktkt. Demokrasia sio kishindwa kutambua nyakati

Mpo kwenye vita na nani?? Inaonekana husomi alama za nyakati wenye akili timamu wameliona hilo wewe endelea na mapambano jua fika jeshi halina kamanda
 
Mpo kwenye vita na nani?? Inaonekana husomi alama za nyakati wenye akili timamu wameliona hilo wewe endelea na mapambano jua fika jeshi halina kamanda

Uchumi wako ni sawa au uwiano sawa na mali zilizopo hapa nchini??? vita ya kwanza hiyo; Kutawaliwa miaka 53 je ni sawa na haki katik katiba yako??? najua huwezi kufikiria zaidi ya ukubwa wa tumbo lako
 
Uchumi wako ni sawa au uwiano sawa na mali zilizopo hapa nchini??? vita ya kwanza hiyo; Kutawaliwa miaka 53 je ni sawa na haki katik katiba yako??? najua huwezi kufikiria zaidi ya ukubwa wa tumbo lako

Mwenzangu unatumia kinyeleo kufikiria?
 
Kwa uchumi huu na rasilimali tulizonazo hata kama rais angekuwa mzee wangu ningekataa asiendelee kuwa kiongozi, hata kama ningekuwa na fedha na mali kama nchi nzima bado ningepinga maana wananchi wenzangu wamepigika mno
 
Mambo ya "demokrasia" siyo muhimu sana kwa wachagga.Wanataka tu "pesa" .Usilete mchezo na pesa....
 
Back
Top Bottom