BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
vocha tu unaona hatari? Akikuomba hela ya saluni? Akikwama akakwambie umpe hela ya matumiz si utazimia wewe?
Nasoma kidato cha tano na yeye coleg
Mhhh kazi kweli kweli, siku zote usikubali mwanamke aku control hata siku moja, mwanamke akishaku control utajuta kuzaliwa, na wewe ulivyoanza nae ndio ulimzoesha hayo mambo ya vocha na kujifaanya una hela nyingi sana, sasa ndio faida yake, inabidi uwe mgumu baadhi ya sehemu sio kulegea na kuogopa kuachwa, shtuka kijana nakuwa open kwake mwambbie wewe mwenyewe hela unapewa na wazazi thats all. unaogopa kuumwambia ukweli, bora kuitwa mtoto wa mama kuliko kuka bila hela mfukoni
Nasoma kidato cha tano na yeye coleg
Mkuu vocha tu unadai dem mchunaji!! Je akikuomba pesa ya kusuka lace wig 300,000/= si utahama mji kumkwepa?