kabla ya kwenda kwa vga kwanza check kama R.A.M zinapiga mzigo vizuri au tafta hata R.A.M za kuazima ujaribu kama tatyzo bado ndiyo usake hizo VGA card
kama ni ram ingekuwa inatoa mlio fulani wa "beep beep". Mie sidhani ni vga card pia ila nahitaji more details bedore nitoe prognosis yangu