Dell kompyuta haitaki ku-boot

Baba Mtu

JF-Expert Member
Aug 28, 2008
871
168
SIFA:
OS-win xp prof sp3
RAM-500MB
SPEED-1.9Gz, INTEL PROCESSOR
HD-60GB
BRAND-DELL optiplex gx 755

Nikiwasha inaleta mwanga wa njano badala ya mwanga wa kijani katika power indicator ( AMBER YELLOW LIGHT INSTEAD OF GREEN LIGHT).
Nimepitia katika forums tofauti na kufanya troubleshooting ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili lakini nimekosa utatuzi wake.
Kama kuna mwenye ujuzi naomba msaada wa kutatua.

Nilitembelea hapa:

Documentation
Documentation
PC Hardware :: Computer Does Not Boot At All

Na forums mbalimbali



 
SIFA:
OS-win xp prof sp3
RAM-500MB
SPEED-1.9Gz, INTEL PROCESSOR
HD-60GB
BRAND-DELL optiplex gx 755




Nikiwasha inaleta mwanga wa njano badala ya mwanga wa kijani katika power indicator ( AMBER YELLOW LIGHT INSTEAD OF GREEN LIGHT).
Nimepitia katika forums tofauti na kufanya troubleshooting ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili lakini nimekosa utatuzi wake.
Kama kuna mwenye ujuzi naomba msaada wa kutatua.

Nilitembelea hapa:

Documentation
Documentation
PC Hardware :: Computer Does Not Boot At All

Na forums mbalimbali






Just power ya pc, press F8 before boot up, then use arrow keys to scrol to the last known good cofiguration,

Or you can simply repair it. all your saved document will be safe. hape u have all utilities (drivers)cd u purchased with your PC.
All the best. if fail contact me same place, online 24/7
 
Just power ya pc, press F8 before boot up, then use arrow keys to scrol to the last known good cofiguration,

Or you can simply repair it. all your saved document will be safe. hape u have all utilities (drivers)cd u purchased with your PC.
All the best. if fail contact me same place, online 24/7

Hiyo nilishafanyaga siku nyingi tu, lakini tatizo bado lipo.
Tatizo ni kwamba pc yenyewe haitaki kuboot. Ukiipa power badala ya kuboot yenyewe haiboot, power indicator light inakuwa ya njano badala ya kijani. Na wakati mwengine processor fan inavuma/inatoa ukelele.
 
Inawezekana tatizo ni hiyo button ya kuboot imekorofisha badala ya kuiwasha pc inaiweka kwenye sleeping mode
Solution
Jaribu kuifungua na ujaribu kuwasha moja kwa moja. kama una vifaa

Inawezekana adaptor imepoteza nguvu ya kupitisha moto wa kutosha unahohitajika na laptop.
Solution jaripu kutafuta power adaptor nyingine uone itakuwaje
 
SIFA:
OS-win xp prof sp3
RAM-500MB
SPEED-1.9Gz, INTEL PROCESSOR
HD-60GB
BRAND-DELL optiplex gx 755

Nikiwasha inaleta mwanga wa njano badala ya mwanga wa kijani katika power indicator ( AMBER YELLOW LIGHT INSTEAD OF GREEN LIGHT).
Nimepitia katika forums tofauti na kufanya troubleshooting ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili lakini nimekosa utatuzi wake.
Kama kuna mwenye ujuzi naomba msaada wa kutatua.

Nilitembelea hapa:

Documentation
Documentation
PC Hardware :: Computer Does Not Boot At All

Na forums mbalimbali




Pole sana, nina maswali machache kabla sijachangia, 1. kwa mara ya mwisho uliizima kwa kufuata taratibu?, 2.ulisha fanya UPgrade ya Win? 3. imeshawahi funguliwa? 4.umesha wahi kuifanyia CMOS setup configuration? nijibu nitoe Mchango wangu
 
Pole sana, nina maswali machache kabla sijachangia, 1. kwa mara ya mwisho uliizima kwa kufuata taratibu?, 2.ulisha fanya UPgrade ya Win? 3. imeshawahi funguliwa? 4.umesha wahi kuifanyia CMOS setup configuration? nijibu nitoe Mchango wangu

1. Ndiyo, niliizima kwa kufuata utaratibu
2. Windows iko updated sababu pc iko connected na net siku zote.
3. Ndiyo nshawahi kuifungua mara nyingi tu. Nilikuwa nafanya troubleshootings kwa ku-dismantle na ku-assemble kama nlivyokuwa nkishauriwa na dell supporters na members kutoka forums nyingine tofauti tofauti.
4. Ndiyo, nlishawahi kuifanyia CMOS setup, nili-clear CMOS settings na nili-load default settings za BIOS.

Troubleshooting ndogondogo (kama vile RAM, HD, PSU and PERIPHERALS changes) nilishazifanya zote. Lakini pc haitaki kuboot. Katika pitapita yangu katika forums na mitandao mengine nikakutana na mtandao mmoja ulioniambia kuwa dell za kuanzia mwaka 2006 kuja juu zina matatizo ya MOB na CPU. Kwa mujibu wa huo mtandao dell inakili kupokea na kutumia material fake kutoka kampuni ya FOXCOM katika kuunda pc zake.
Nimekutana na kompyuta saba zenye tatizo kama hili, na zote ni za mwaka 2006 kuja juu. Mbaya zaidi pc hizi hazina support zaidi kutoka dell sababu zimetengenezwa nnje ya ulaya.
Kati ya hizo pc 7, kuna moja nili-fumble nayo ikakubali kuboot na nikaweza kuiformat, lakini inawaka kwa muda mfupi na kujizima, ukiwasha tena inarejea tatizo lake la awari.
 
Inawezekana MOB ina matatizo, lakini RAM nilishabadilisha na kuweka mpya lakini haikusaidia

Bab mtu
Nenda soma manual ya computer yako mwishoni kuna . cheki kwenye kipendegle cha troubleshooting alafu nenda kwenye power problem

kama huna manual kaichukue online kwenye official website ya dell Documentation.

kwa haraka haraka wanasema hivi

IF THE POWER LIGHT IS STEADY AMBER — A device may be malfunctioning or incorrectly installed.

• Ensure that the processor power cable is securely connected to the system board power connector (POWER2) (see the "System Board Components" section for your computer).
• Remove and then reinstall all memory modules (see "Memory" on page 313).
• Remove and then reinstall any expansion cards, including graphics cards (see the "Cards" section for your computer).
• Perform the power supply self-test, if applicable (see "Power Supply Self-Test" on page 340).

IF THE POWER LIGHT IS BLINKING AMBER — The computer is receiving electrical power, but an internal power problem may exist.
• Ensure that the voltage selection switch is set to match the AC power at your location (if applicable).
• Ensure that all components and cables are properly installed and securely connected to the system board (see the
"System Board Components" section for your computer).
• Perform the power supply self-test, if applicable (see "Power Supply Self-Test" on page 340).


Pg 340
To perform the power supply self-test:
1 Turn your computer off and disconnect the computer from the electrical outlet.
2 Disconnect the DC power supply connectors from the system board and all internal devices. The procedure for disconnecting the power supply cables depends on the form factor of your computer:
• For the mini tower, see "Power Supply" on page 79
• For the desktop, see "Power Supply" on page 155
• For the small form factor, see "Power Supply" on page 219
3 Connect your computer to a working electrical outlet.
4 Press and hold the power supply test button.
– If the test LED illuminates, the power supply is functioning properly. Connect the DC power
supply connector to the system board, and then perform the test again. Continue to connect
devices (one at a time) and perform the self-test until the test LED fails to illuminate and a faulty
device is identified. Replace the defective device/part or contact Dell (see "Contacting Dell" on
page 370).
– If the test LED does not illuminate, the power supply is defective. Replace the power supply or
contact Dell (see "Contacting Dell" on page 370).
 
Kuna changes zozote ulizofanya mara ya mwisho kabla ya kuzima? Inafika ktk Black screen (CMOS setup)?
 
Bab mtu
Nenda soma manual ya computer yako mwishoni kuna . cheki kwenye kipendegle cha troubleshooting alafu nenda kwenye power problem

kama huna manual kaichukue online kwenye official website ya dell Documentation.

kwa haraka haraka wanasema hivi

IF THE POWER LIGHT IS STEADY AMBER - A device may be malfunctioning or incorrectly installed.

• Ensure that the processor power cable is securely connected to the system board power connector (POWER2) (see the "System Board Components" section for your computer).
• Remove and then reinstall all memory modules (see "Memory" on page 313).
• Remove and then reinstall any expansion cards, including graphics cards (see the "Cards" section for your computer).
• Perform the power supply self-test, if applicable (see "Power Supply Self-Test" on page 340).

IF THE POWER LIGHT IS BLINKING AMBER - The computer is receiving electrical power, but an internal power problem may exist.
• Ensure that the voltage selection switch is set to match the AC power at your location (if applicable).
• Ensure that all components and cables are properly installed and securely connected to the system board (see the
"System Board Components" section for your computer).
• Perform the power supply self-test, if applicable (see "Power Supply Self-Test" on page 340).


Pg 340
To perform the power supply self-test:
1 Turn your computer off and disconnect the computer from the electrical outlet.
2 Disconnect the DC power supply connectors from the system board and all internal devices. The procedure for disconnecting the power supply cables depends on the form factor of your computer:
• For the mini tower, see "Power Supply" on page 79
• For the desktop, see "Power Supply" on page 155
• For the small form factor, see "Power Supply" on page 219
3 Connect your computer to a working electrical outlet.
4 Press and hold the power supply test button.
– If the test LED illuminates, the power supply is functioning properly. Connect the DC power
supply connector to the system board, and then perform the test again. Continue to connect
devices (one at a time) and perform the self-test until the test LED fails to illuminate and a faulty
device is identified. Replace the defective device/part or contact Dell (see "Contacting Dell" on
page 370).
– If the test LED does not illuminate, the power supply is defective. Replace the power supply or
contact Dell (see "Contacting Dell" on page 370).

Huku kote nilishapita kabla ya kuja hapa jf kutafuta msaada zaidi

Kuna changes zozote ulizofanya mara ya mwisho kabla ya kuzima? Inafika ktk Black screen (CMOS setup)?

Sikuwahi kufanya changes za aina yoyote, haifiki ktk bios setup

Inawezekana tatizo ni hiyo button ya kuboot imekorofisha badala ya kuiwasha pc inaiweka kwenye sleeping mode
Solution
Jaribu kuifungua na ujaribu kuwasha moja kwa moja. kama una vifaa

Inawezekana adaptor imepoteza nguvu ya kupitisha moto wa kutosha unahohitajika na laptop.
Solution jaripu kutafuta power adaptor nyingine uone itakuwaje

Sina vifaa, so, nmeshindwa.



Wakuu asanteni sana kwa michango yenu, mungu atawalipeni mbadala inshaallah.
Hata hivyo bado pc haijapona, nmei-despouse store room. Katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo nilipita website moja iliyoniambia kuwa MOB za dell zina matatizo, na wanakubali kubadilisha iwapo pc bado itakuwa ktk garentii na dell yako ni manufactured from US. Pia dell wamekili kuwa walinunua vifaa feki kutoka kampuni ya FOXCOM, vifaa hivyo vinahusiana na CPU coolin (Heat sink and thermal paste system). Na tatizo hili ni kwa dell za kuanzia mwaka 2004/2005 kuja juu. Hapa ofisini kuna dell zipatazo 7 zimekumbwa na tatizo hilo, yaani zimekufa, nmewashauri wanaotaka pcs hapa ofisini wanunue compaq au brand nyingine.
Idumu subforum hii ya sayansi na teknolojia
 
.....
....website moja iliyoniambia kuwa MOB za dell zina matatizo, na wanakubali kubadilisha iwapo pc bado itakuwa ktk garentii na dell yako ni manufactured from US. Pia dell wamekili kuwa walinunua vifaa feki kutoka kampuni ya FOXCOM, vifaa hivyo vinahusiana na CPU coolin (Heat sink and thermal paste system). Na tatizo hili ni kwa dell za kuanzia mwaka 2004/2005 kuja juu. Hapa ofisini kuna dell zipatazo 7 zimekumbwa na tatizo hilo, yaani zimekufa, nmewashauri wanaotaka pcs hapa ofisini wanunue compaq au brand nyingine.
Idumu subforum hii ya sayansi na teknolojia

Baba mtu nina ushuri

MOB ni system ina subsytem nyingi. So system nzima ya MOB kufa ni nadra sana. Labda kama kifaa subsytem kinachsababisha hivi waseme ni unrepairable au gahrama yake ni kubwa. So unaweza kukuta kwenye hiyo MOB kuwa power IC tu inatakiwa kubadilishwa.

Compaq ilinunuliwa na HP pia na wao kuna brand zao zina matatizo. So katika brand hata kama ni toshiba au IBM hakikisha umefanya uchunguzi wa kutosha. Kila brandina model zenye matatizo.

But again nakushauri hata kama umeichoka hiyo latop ifanyie mazoezi mwenywe. Unaweza kushangaa kilichokufa ndani ya MOB hakizidi shilingi 10,000. na unaifufua na kuiza au kuigawa kwa ndugu. na wahitaji.

Ukipeleka kwa fundi akasema motherboard imekufa .muulize mother baord imekufa nini. Ukikosa jibu la uhakika ujue sio competent..........

Its too general na si jibu la kitaalam kusema mother board nzima imekufa.Tena kwa laptop inayoonyesha inapokea moto.
 
Baba mtu nina ushuri

MOB ni system ina subsytem nyingi. So system nzima ya MOB kufa ni nadra sana. Labda kama kifaa subsytem kinachsababisha hivi waseme ni unrepairable au gahrama yake ni kubwa. So unaweza kukuta kwenye hiyo MOB kuwa power IC tu inatakiwa kubadilishwa.

Compaq ilinunuliwa na HP pia na wao kuna brand zao zina matatizo. So katika brand hata kama ni toshiba au IBM hakikisha umefanya uchunguzi wa kutosha. Kila brandina model zenye matatizo.

But again nakushauri hata kama umeichoka hiyo latop ifanyie mazoezi mwenywe. Unaweza kushangaa kilichokufa ndani ya MOB hakizidi shilingi 10,000. na unaifufua na kuiza au kuigawa kwa ndugu. na wahitaji.

Ukipeleka kwa fundi akasema motherboard imekufa .muulize mother baord imekufa nini. Ukikosa jibu la uhakika ujue sio competent..........

Its too general na si jibu la kitaalam kusema mother board nzima imekufa.Tena kwa laptop inayoonyesha inapokea moto.

Asante mkuu nimekuelewa, tatizo ni kuwa sina vifaa vya kisasa vya ku-detect faults in mother board. Hata hivyo mashine zilizoaribika sio dell laptop bali dell desktop.
Kuna pc moja baada ya kuichunguza mob yake kwa umakini (visual inspection) nikaona kuna baadhi ya capacitors zimeyeyuka!!! kana kwamba zimepewa kiasi kikubwa cha umeme!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom