Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Mfumo wetu wa elimu mbovu sana, mpaka mtu anfikia level ya degree badio hajajitambua na anakuja kuuliza degree nzuri. Unpaswa kujitambua unataka kufanya nini na sio kuangalia soko la ajira la leo, soko la ajira hubadilika kama zilivyo bidhaa sokoni. Miaka ya 90's watu wamekimbilia sana kusoma computer science na hatimaye wengi wakijikuta wanafanya kazi za sales au marketing au administration; wamekuja kujikuta kwamba kile walichosoma not applicable now in TZ.