Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
- Thread starter
- #21
Kwa wale wanaodhani siasa na music or film haviendani, check this out and tell me these are coincidences....
Kabla sijaangusha haya, unajua personally nilikuwa namfikiria Obama na issue za ujamaa way before election, toka kabla ya hawa kina Glen Beck, Rush Limbaugh hawajaanza kum-accuse....nilikuwa nawaambia watu sitashangaa siku nikisikia Obama anajua Kiswahili (by the way, what's the posibility of that?). Nikawa nakumbuka maneno ya Mwalimu, 'let's run while they walk', nikawa nafikirikia, kuna maana gani nyingine zaidi ia ile iliyotumika wakati ule, maybe I'm just reaching? Lakini kuwaona Dead Prez wakiperform Dar (wame-mention Tanzania kwenye track yao ya 'Africa Hot'), na kumsikia Nas anaangusha kiswahili kwenye track na Damian Marley kunaleta signal kwenye radar yangu.
Anyway, nikirudi nilichotaka kusema mwanzo, kuna town hall meeting moja wakati wa campaign Obama alikuwa anapinga hoja moja ya either Bush or McCain (bahati mbaya sikumbuki hata ilikuwa lini kwa hiyo itakuwa ngumu kuisearch), akadai 'not only it ain't right, it isn't right'.....well, that's not a big deal, lakini ukiangalia movie ya Head Of State ambayo Chris Rock aliact kama black presidential candidate, alitumia exactly same sentence wakati wa campaign yake (pia Bernie Mac alikuwepo kwenye movie na kwenye campaign ya Obama).
Movie nyingine ni Training Day. Kama unajua history ya black actors in hollywood, movie kama hii lazima itakuinterest sana kwa sababu ya story yenyewe na position ya Denzel kwenye hii movie. I mean a black man is outsmarting a white guy from the very first scene (a white A-List actor for that matter) like that, you gotta pay attention. Kitu kingine nilichonotice ni watu wa ethnic tofauti tofauti, kuanzia russians, black, white, latino. Na wote kwa pamoja wako katika center ya story, na ukiondoa race yoyote kati ya hiyo katika hii movie, you don't have a training day! Ok, any message behind this movie?
Kabla sijaangusha haya, unajua personally nilikuwa namfikiria Obama na issue za ujamaa way before election, toka kabla ya hawa kina Glen Beck, Rush Limbaugh hawajaanza kum-accuse....nilikuwa nawaambia watu sitashangaa siku nikisikia Obama anajua Kiswahili (by the way, what's the posibility of that?). Nikawa nakumbuka maneno ya Mwalimu, 'let's run while they walk', nikawa nafikirikia, kuna maana gani nyingine zaidi ia ile iliyotumika wakati ule, maybe I'm just reaching? Lakini kuwaona Dead Prez wakiperform Dar (wame-mention Tanzania kwenye track yao ya 'Africa Hot'), na kumsikia Nas anaangusha kiswahili kwenye track na Damian Marley kunaleta signal kwenye radar yangu.
Anyway, nikirudi nilichotaka kusema mwanzo, kuna town hall meeting moja wakati wa campaign Obama alikuwa anapinga hoja moja ya either Bush or McCain (bahati mbaya sikumbuki hata ilikuwa lini kwa hiyo itakuwa ngumu kuisearch), akadai 'not only it ain't right, it isn't right'.....well, that's not a big deal, lakini ukiangalia movie ya Head Of State ambayo Chris Rock aliact kama black presidential candidate, alitumia exactly same sentence wakati wa campaign yake (pia Bernie Mac alikuwepo kwenye movie na kwenye campaign ya Obama).
Movie nyingine ni Training Day. Kama unajua history ya black actors in hollywood, movie kama hii lazima itakuinterest sana kwa sababu ya story yenyewe na position ya Denzel kwenye hii movie. I mean a black man is outsmarting a white guy from the very first scene (a white A-List actor for that matter) like that, you gotta pay attention. Kitu kingine nilichonotice ni watu wa ethnic tofauti tofauti, kuanzia russians, black, white, latino. Na wote kwa pamoja wako katika center ya story, na ukiondoa race yoyote kati ya hiyo katika hii movie, you don't have a training day! Ok, any message behind this movie?