Nakubaliana na wewe. Hatutakiwi kuchangia thread kama hizi. Endapo tunahitaji thread za kutufanya tu-relax kidogo na kucheka, ziko zingine nyingi tu, sio lazima za kudhalilisha jinsia. Kwa kuadhimisha siku ya WANAWAKE. Tuweke hili kuwa ni Lengo letu kwa siku zijazo.
Waaaaoooh!Unanifanya damu isisimke kwa furaha! Believe me, If you make women feel good about themselves, they will feel good about you.
Leo ni siku ya wamawake duniani...
without many words, you are the heart and lifeline of our lives...
you are our mothers
you are our aunties
you are our sister
you are our lovers
there is no man without a woman
there is no sweet love without a woman
our kids depend on you
our hearts are taken care by you
yet we sometime abuse you
but you dont give up on us
as the world would be different
if for a minute you'd deserted us
be a wife, mother and sister
house-girl, maids or office mate
that soft heart and sweet voice
always remind us the treasure you are
SIKU YA WANAWAKE LEO
BASI NA CHUKUENI HESIMA YA PEKEE
basi na tuendeleze upendo huu kwa maneno, mawazo na vitendo....Asanteni sana kwa dedication kwani nyie kina baba mmekuwa mchango mkubwa katika maisha yetu ya kila siku
Tutaendelea kuwa kuwa kina mama wema ,wenye mapenzi tele kwa family ,jamii na wale wote wanaotuzunguka.
Naenda ku-volunteer mambo ya kijamii leo tuonane baadae ..
Cheers
Lovely
Aisee Kimey na yule kule wa Loliondo umemtakia HAPPY WOMENS DAYNa mimi naungana na wana JF kuwaambia wanawake wote kua tunawapenda sana sana...kama alivyosema babu, without you dunia ingekua Jehanam!!
Na alaaniwe yule amtukanae mwanamke!!
Aisee age mate, umeniwahi haka kakitu.
Nami naungana nawe kwenye hako kadedikesheni.
Hii dunia bila hawa viumbe, si sehemu tamu ya kuishi.
Nikimwangalia my dear mama, anavyonionea huruma navyokuwa katika matatizo, my dear wife anavyonidekeza pamoja na ubaradhuli na ulevi wangu, vibinti vyangu vinavyonisifia japo siujui wema naowatendea ukilinganisha na mama yao. Mabinti/wamama/wadada wa JF wanavyoniondolea mastress ya mkoloni wangu kwa thread na posts zao zenye akili........ Hawa watu wanawake waacheni waitwe wanawake.
Na hapo sijawataja kina Eliza wanavyonihudumia bia kwa upendo.........
Nawapendeni Wanawake Woooote. Mungu awabariki. Bila Nyie wallahi dunia ingekuwa jehanamu ya pili. Naamini Jehenamu hakuna wanawake....Thats why sitaki kwenda huko!
Damn.......Eliza hebu leta Guiness ya Baridi fasta!
Aisee Kimey na yule kule wa Loliondo umemtakia HAPPY WOMENS DAY
Fathers Day ipo ila naona huwa haina mashiko sana kama hii Womens Dayhivi mkuu mbona sisi hatuna siku yetu?siku ya wanaume yafaa iwekwe kny mchakato