DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,122
Habari wana JF
Miezi kadhaa iliyopita nilikuja kwenu na thread "Msaada mkuu huyu wa shule " kwenye bandiko hilo nilieleza mengi juu ya mgongano uliyojitokeza kati yangu na mkuu wa shule moja ikiwa ni madai yake kuwa nitoke kwenye nyumba ya shule eti anataka akae mwalimu wa malezi, kiujumla niliona si haki nikalipeleka jambo hilo ngazi ya kata likaamuliwa kuwa nikae hadi nitakapo pata nyumba nyingine nitakayoona inafaa ama mkuu wa shule anitafutie, huku nyuma kumbe hakuridhika kaandika barua kapeleka kwa DED ikisema mimi nimekaidi maagizo yake.
Leo ghafla nashangaa ugeni kituoni, mara naitwa.... kumbe eti mkurugenzi katuma watu (afisa utumishi, tsd na afisa taaluma ) wamenieleza kuwa wametumw juu ya jambo hilo na kutaka eti niandike barua kuw nitakabidhi nyumba ndani ya siku saba......... kimsing nikasem hawawezi kunipa agizo hilo bila kunisikiliza........ nikawaeleza hali halisi ilivyo ki ukweli wamekili kuwa taarifa zimeenda kwa DED tofauti but wakaniomba niandike hiyo barua nimepiga chenga kuandika nimesem nitaandika na kupeleka kesho kwani,
(a ) hakuna barua yoyote niliyoipata inayonitaka nitoe maelezo juu ya jambo hilo na kama mimi mwalimu sistahili kuishi kwenye nyumba ya umma nijue navunja sheria ipi.
(b ) naona kuandika barua ni kujitengenezea kesi je hizo siku saba nisipopata nyumba si ntakuw nimekaidi?
(c ) sioni sababu ya kunitimua kwenye nyumba Kwan bado ni mtumishi halali.
Maswali ni mengi kuliko majibu but mwisho nimeamua kwenda kesho kwa afisa elimu nimueleze na ikibidi niende kwa mkurugenzi hapa naona ile misemo ya walimu tunaonewa nauona ukweli dhahiri. but nakaribisha michango kwani penye wengi pana mengi!
Nb. Najua kuna watakao ona jambo hili kwa namna tofauti naomba busara si matusi na kejeli.
Miezi kadhaa iliyopita nilikuja kwenu na thread "Msaada mkuu huyu wa shule " kwenye bandiko hilo nilieleza mengi juu ya mgongano uliyojitokeza kati yangu na mkuu wa shule moja ikiwa ni madai yake kuwa nitoke kwenye nyumba ya shule eti anataka akae mwalimu wa malezi, kiujumla niliona si haki nikalipeleka jambo hilo ngazi ya kata likaamuliwa kuwa nikae hadi nitakapo pata nyumba nyingine nitakayoona inafaa ama mkuu wa shule anitafutie, huku nyuma kumbe hakuridhika kaandika barua kapeleka kwa DED ikisema mimi nimekaidi maagizo yake.
Leo ghafla nashangaa ugeni kituoni, mara naitwa.... kumbe eti mkurugenzi katuma watu (afisa utumishi, tsd na afisa taaluma ) wamenieleza kuwa wametumw juu ya jambo hilo na kutaka eti niandike barua kuw nitakabidhi nyumba ndani ya siku saba......... kimsing nikasem hawawezi kunipa agizo hilo bila kunisikiliza........ nikawaeleza hali halisi ilivyo ki ukweli wamekili kuwa taarifa zimeenda kwa DED tofauti but wakaniomba niandike hiyo barua nimepiga chenga kuandika nimesem nitaandika na kupeleka kesho kwani,
(a ) hakuna barua yoyote niliyoipata inayonitaka nitoe maelezo juu ya jambo hilo na kama mimi mwalimu sistahili kuishi kwenye nyumba ya umma nijue navunja sheria ipi.
(b ) naona kuandika barua ni kujitengenezea kesi je hizo siku saba nisipopata nyumba si ntakuw nimekaidi?
(c ) sioni sababu ya kunitimua kwenye nyumba Kwan bado ni mtumishi halali.
Maswali ni mengi kuliko majibu but mwisho nimeamua kwenda kesho kwa afisa elimu nimueleze na ikibidi niende kwa mkurugenzi hapa naona ile misemo ya walimu tunaonewa nauona ukweli dhahiri. but nakaribisha michango kwani penye wengi pana mengi!
Nb. Najua kuna watakao ona jambo hili kwa namna tofauti naomba busara si matusi na kejeli.