Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
kama mnajiuliza jinsi inavyofanya kazi, nendeni pale mabibo mkaulize, sio mnakaa kusikiliza mambo ya wachangiaji wa hapa ambao hata hawajui kinachoendelea kule. wengi hapa walikuwa hata hawajui iko ofisi za wapi, kinachoonyesha kuwa hamuijui kabisa hivyo msichangie hadi mwende mkafanye utafiti. mimi nitaishia hapo. isipokuwa, mtu ukipanda kule Deci, unakaa miezi mitatu na nusu ndio unaenda kuvuna, sio mwezi mmoja kama wengine walivyosema hapa. asante.