Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,120
Dada yangu amepoteza zaidi ya laki nane kupitia DECI ila haijaniuma kufikia ya huyu bibi maskini......_mamadeci.jpg (image)Eti kauza ndizi zake jamani visenti akawapa hawa mafisadi sasa ona kabaki kapa.Inasikitisha sana kuona mtu kama huyu kajitahidi kujipatia riziki then mwisho wa siku ana baki kama vile hakuhangaika.