Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,251
hawa deci deci jamani vyanzo vyao vya mapato ni nini?naomba waeleze ili wateja wajue na wawe na uhakika na fedha na riba zao.
Its a Ponzi or Pyramid scheme. Inatumia pesa za wawekezaji wapya kuwalipa wawekezaji wa zamani, sooner or later kutakua hakuna wawekezaji wapya hapo ndo mambo yanapoharibika. hizi scheme zote in the end lazime zife kwa sababu lazima wawekezaji wapya wataisha na watu lazima wapoteze pesa zao.
Link:
What Is A Pyramid Scheme?