mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Kwa wale wenzangu na mie ambao hatukua tunaweka akiba tangu january inakulaje kwetuuu!! maana ukisema kamshahara hako ka december kanako wahi kama nini ndo ukamaliziea kwa bata zote za december..utaliaje January!!
........... ukute kwa bahati nzuri na kodi nayo imeishia december..hehee
........... ukute kwa bahati nzuri na kodi nayo imeishia december..hehee