Debate: Who do women really dress for?

But it is quite easy to cut across all three. Be myself, dress to please men and still be appropriate for a female 'audience'.

So Mwali, I got a question for you. What's your sense of style? Tomboyish? Girly-girlish? A cross between the two?
 
So Mwali, I got a question for you. What's your sense of style? Tomboyish? Girly-girlish? A cross between the two?
kwa kweli navaa vyote vyote tu, ila mostly feminine nikitoka
and as light as possible nikiwa home (I almost live alone)
Nikiwa shule ni kama wanafunzi wote: Jeans/tight and tshirt
 
Dush.. swali zuri hili si jambo la ajabu kumkuta mwenza wako kakaa kwenye dressing table kwa nusu saa, sasa hapo inabidi ujiulize "Who is she tryin to attract"? me or someone else?

Most probably she is doing it for herself!
Wakati wewe inakusumbua kwanini mwenza wako anajipamba au kuvaa, mwenzio anafanya hivyo kama "ritual" for herself.


Kuvaa, kujipendezesha ni tabia au hulka ya mtu ila kama mwenza wako kila siku yuko nyang'anyang'a halafu ghafla akaanza kujiupara na kuvaa vizuri basi ujue anamvalia mtu.

BTW
Kwani wanaume mnapoenda kunyoa nywele na ndevu na kufanya scrub/facial, huwa mnafanye kwa ajili ya nani?
 
Hivi ni wanaume wa wapi hao wanaofanya facial (halafu hili neno bana...lol basi tu) na scrub? Kuna Spa za kiume?
 
It always starts with myself!
Najifurahia sana nikipendeza! then the rest definately will follow! Attention from both genders! including your man!
 
Wanawake sometimes tuna criticize au kusifia wenzetu sababu we value appearance ya mtu than U men! We tend to notice beauty, fashion and designs n etc.. But it doesnt mean we're actually competing with each other..

Okey,nime kupata ingawa wengi wanadai kwamba you criticize out of jealousy or hate!
 
wanawake wengi tunavaa kile ambacho tumeona mwanamke mwenzetu kavaa akapendeza au kimemfanya aonekane yuko juu.
Hapa namanisha kwamba yaani wadada hasa wa mjini(sio wote) wakiona mdada fulani anapiga sana pamba za ghali mfano viatu vya christian loubotin maarufu kama cl au loubs basi na yeye atahangaika avipate bila kujua mwenzake anapata wapi uwezo wa kuvaa vitu vya gharama kitu ambacho wengi wao wanaishia kuvaa mifake kutoka china maana ukweli ni kwamba ni wadada wachache sana bongo wanaovaa genuine designer pieces.
Vinguo vingi wadada wa mjini wanavyovaa ni kwa sababu wameona wadada wenzao wenye majina makubwa wanavaa na wao wanatafuta wavae bila kujali wamependeza au hawajapendeza,wengine hii kuiga iga wenzao wanajikuta wanatokea vituko ile mbaya ila ndo huwaambii kitu sbb ni style ambazo kila dada mjanja anavaa.

Kwa hiyo mim naweza kusema kwamba ni kweli asilimia kubwa ya wanawake tunavaa kwa ajili ya wanawake wenzetu.
Ila kuna wakati wanawake wanavaa kwa ajili ya kuseek male attention.

Mim binafsi napenda kuvaa vitu ambavyo vinanipendeza,vyenye heshima na vyenye kufanya kina kaka wakodoe macho ya ku appreciate.



Asante sana cheusi,umesema vyema.
 
Navaa nisitiri mwili wangu (kiaina)
Navaa nipendeze
Navaa wanaume wanione
Navaa wanawake wanione
Navaa kila mtu aone nilicho vaa ...

Hamna cha ku debate. Very straight forward
Tunavaa kwa kujisitiri na kila mtu aone fashion
Uipendayo simple and clear ..

Dah,ume maliza Afro.
 
navaa nipendeze menyewe,nipendeze mbele ya watu wengine, wanawake, wanaume na watoto

najisikia raha sana nikiwa nimependeza
 
Back
Top Bottom