ahahahahhahhahhah mtani utajibeba mwaka huu!we si unataka kwa kifupi kifupi!
Hahahahaaaa, halafu baadae tutaulizana DHIMA ya mtiririko huu eeh! snowhitefunguka M'Jr funguka!usikute unayemfungukia ni hkl nae atakubali tuuu!wenzangu wa PCM wamsubiri Nyani Ngabu.
ha haaaaaaaaaaa mlongo wangu, kuna njemba zinaweza kukufanya nitabasamu kila ukifungua macho asubuhi, yaani nawapendaje!!!!!!!!!!!!!!!!!niitie tu pacha
mi napenda maelezo bwana sijui ni hii HKL hii yani napenda kidume kijieleze sio haya mambo ya mtu unatuma sms nzuuri af kidume kijibu 'ok' yani huwa natamani mtu aone navofura kwa hasira!mi nimejieleeeza mwenye we cha kunijib mwenzio 'noted' ndo nini!hebu niitie Kaizer anipe maelezo naweza nikampa remedials leo
Mhhhhhhhh lakini si naomba unisikilize kwanza kabla hujataka tuonane..........
ha haaaaaaaaaaa mlongo wangu, kuna njemba zinaweza kukufanya nitabasamu kila ukifungua macho asubuhi, yaani nawapendaje!!!!!!!!!!!!!!!!!
voha viyumuka kamwali, kunyumba yako vijoha wuli?umeona enh!jovaa kamwali!kunyumba yenu huko wazima?mngana wetu?wana?
mi hapa huwa natamani kulia,yani mi nimeandika sms yangu tamuuu,nongi ushawahi kuandika sma mpaka unatamani iwe inatumwa kwako!basi ndo kama zile mwenzio ndo huwa naziandika,af ukute unajibiwa kwa simu au kwa neno poa!uwiii!ahahahaahha ila jamani haya mambo yanaenda na fani sijui kha!voha viyumuka kamwali, kunyumba yako vijoha wuli?
naena leo wapo uwanja wako............................. zile sms za ok, yeah, later........ zinabore!
mimi nyumbani kwangi nina injinia, kila kitu ni hesabu tu, ha haaaaaaaaaaaaaaaaa, ukituma sms unapigiwa kupewa jibu, agrrriiiiiiiiii, sms nazo zina raha yake jamani
hiyo ni fani my dear. kuna watu hawana upako kabisa wa kuandika sms, lakini ukimpa muda wa kuongea nawe tu kwisha habari yako. ila kuna watu ........................................ mkaka anatuma sms 70 kwa siku................ zote tamu na hazijirudii. sijui wanakuwa na vitabu vya mistari?mi hapa huwa natamani kulia,yani mi nimeandika sms yangu tamuuu,nongi ushawahi kuandika sma mpaka unatamani iwe inatumwa kwako!basi ndo kama zile mwenzio ndo huwa naziandika,af ukute unajibiwa kwa simu au kwa neno poa!uwiii!ahahahaahha ila jamani haya mambo yanaenda na fani sijui kha!