Dear FaizaFoxy: Ukijibu hili nahamia CCM

Jipangeni upya, hapa mmefika, mje na swali au maswali lakini msije na "maswali" halafu mnauliza swali, Unanchekesha! Kwanza kabisa unatakiwa unaeuliza ujuwe unachokiuliza, kama unaeuliza hukijui unachouliza kama ni swali au maswali unategemea nini? jibu au majibu?

unatakiwa kujibu ulichoulizwa regardless ni swali au maswali, ishu ni jawabu ndicho kinachotakiwa hapo na sio swali au maswali
 
unatakiwa kujibu ulichoulizwa regardless ni swali au maswali, ishu ni jawabu ndicho kinachotakiwa hapo na sio swali au maswali

Hapana unakosea, katika "art" ya kujibu inabidi tuwe wawazi kwa maswali tunayotaka tujibiwe, hakuna ubaya mtu akirekebisha na kupanga swali au maswali yake vizuri ili apate majibu vizuri, akiyakubali akiyakataa huo ni uhuru aliokuwa nao. Lakini huwezi kuniuliza swali ukasema swali. Kwa kunitendea haki inabidi mniulize kwa mpangilio unaofaa. Kam ni swali nijuwe ni swali na kama ni maswali nijuwe ni maswali. Tupo pamoja.
 
Kweli FF ni mtu muhimu sana hapa JF, yani akiendelea hivi basi watanzania walio potea watarudi kwenye mstari. Mi naona humu magwanda wote wanasubiri mdomo wazi.
 
Hatimaye Kikongwe FF ashikwa pabaya.... Kumbe maneno ya uswahilina tu ukipelekewa hoja longo longo ka Mwenyekiti wako? Wakwere bana....

Naona aliyeshikwa pabaya ni muuliza swali / maswali, maana mpaka sasa anashindwa kuweka sawa ili ajibiwe ikiwa ni maswali au swali, unaweza ukamsadia, maana ndio kafikia upeo wake.
 
unatakiwa kujibu ulichoulizwa regardless ni swali au maswali, ishu ni jawabu ndicho kinachotakiwa hapo na sio swali au maswali
Hayo maswali au Swali si yapangwe vizuri ili mpate jibu, mnakaa kubishana upumbavu.
 
Kwani ALBEDO amekuomba UCHUMBA?

Jibu yake yangu yatafwata.

Ayapange vizuri maana naona maelezo marefu kuliko swali / maswali, sielewi swali ni lipi maelezo ni yepi? naomba mjulisheni aulize vizuri anaweza hata kuyawekea namba ili aeleweke kama ni mengi na kama ni moja tu litaeleweka, hivi nyinyi mmelielewa swali mumsaidie yeye na mimi kulielewa? naona muuliza swali / maswali kaingia mitini, sijui anatumia kompyuta ya ofisini na bosi yupo karibu? ananchekesha!
 
Kwako Bibiye FaizaFoxy

Siku za karibuni nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana siasa za CCM kwenye Field na hapa Jamvini. CCM ina makamanda wa Field wakiongozwa na Nape na siku hizi Lusinde, wamezunguka Nchi Nzima wakutueleza kwamba ROSTAM ni GAMBA lisilotakiwa CCM yaani Kuwako kwake ndani ya CCM kunaipotezea CCM Mvuto kwa Wananchi ( Magamba mengine siyazungumzii kwa sababu yamekataa kutii sauti zenu).

Makamanda wengine wa CCM wako JF hawa ni Pamoja na Wewe FF, Kishongo, MS, Rejao, Ritz, Mwita25(ambaye ameongoka na kuikana CCM) hapa JF.

Nafahamau misimamo ya Baadhi ya wanasiasa wa CCM hapa JF kuhusu Magamba mfano inafahamika kwamba Kishongo yeye haamini kwamba Rostam ni Gamba na tangu Rostam alipoamua kujivua Gamba na yeye amepunguza sana kuchangia ( Inaonekana Kishongo anaumizwa na Siasa za Makundi zilizoko CCM)

Naomba kujua Msimamo wako kuhusu ROSTAM, Je Unakubaliana na Akina Nape kwamba ROSTAM ni Mwizi, GAMBA lisilotakiwa ndani ya CCM, anyway

Unaamini kwamba ROSTAM ni GAMBA? Nataka Kufahamu Msimamo wako

Andaa kadi yangu endapo utajibu Maswali yangu vizuri niko Tayari Kuvua Gwanda Nivae GAMBA

Wako Albedo
Ukiwa kibaraka huwezi kuwa mtu huru! huwezi kusema A ni A wakati MABWANA waliokutuma hawajasema A ni A na sio B.
\the best you can do is play M.kwere.......nyamaza au ongea yasiotakiwa! ......... Unajua wakati mwingine mtu aki-play dumb anaonekana ana akili kuliko ku-play m.kwere.

Toa msimamo wako hapo FF you cant be that worse!!
 
Ayapange vizuri maana naona maelezo marefu kuliko swali / maswali, sielewi swali ni lipi maelezo ni yepi? naomba mjulisheni aulize vizuri anaweza hata kuyawekea namba ili aeleweke kama ni mengi na kama ni moja tu litaeleweka, hivi nyinyi mmelielewa swali mumsaidie yeye na mimi kulielewa? naona muuliza swali / maswali kaingia mitini, sijui anatumia kompyuta ya ofisini na bosi yupo karibu? ananchekesha!

We uzee unakusumbua.
Kama uliweza kuchambua swali na maswali iweje usiweze kuelewa ulichoulizwa.
Wewe kikongwe unamatatizo.
Kama kasi ya humu hauiwez plz tupishe nenda kwenye blog ya MS.
Hapa hatutaki unafiki.
Mtu gani haujibu hoja unaleta utani?
We umezeeka.
Na utupishe.
 
Ayapange vizuri maana naona maelezo marefu kuliko swali / maswali, sielewi swali ni lipi maelezo ni yepi? naomba mjulisheni aulize vizuri anaweza hata kuyawekea namba ili aeleweke kama ni mengi na kama ni moja tu litaeleweka, hivi nyinyi mmelielewa swali mumsaidie yeye na mimi kulielewa? naona muuliza swali / maswali kaingia mitini, sijui anatumia kompyuta ya ofisini na bosi yupo karibu? ananchekesha!
Panga hoja wewe.......sio yeye apange maswali.
 
Ukiwa kibaraka huwezi kuwa mtu huru! huwezi kusema A ni A wakati MABWANA waliokutuma hawajasema A ni A na sio B.
\the best you can do is play M.kwere.......nyamaza au ongea yasiotakiwa! ......... Unajua wakati mwingine mtu aki-play dumb anaonekana ana akili kuliko ku-play m.kwere.

Toa msimamo wako hapo FF you cant be that worse!!

Naomba tazama post #68
 
We uzee unakusumbua.
Kama uliweza kuchambua swali na maswali iweje usiweze kuelewa ulichoulizwa.
Wewe kikongwe unamatatizo.
Kama kasi ya humu hauiwez plz tupishe nenda kwenye blog ya MS.
Hapa hatutaki unafiki.
Mtu gani haujibu hoja unaleta utani?
We umezeeka.
Na utupishe.

Naona umeanza kumshambilia FaizaFoxy badala ya kuuliza swali maswali, unanchekesha!
 
Back
Top Bottom