Shenkalwa
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 580
- 132
Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
Sema tu unatamani kuhamia cdm, dalili zinaonyesha
Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
na wewe unaweza kunijibu kuwa kwa nini huyu shehe hapa chini ameiharibu nchi?halafu kwa nini anapenda sana kwenda marekani? kwani nchi za kiarabu hazioni\?nijibu basiNa nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
na wewe unaweza kunijibu kuwa kwa nini huyu shehe hapa chini ameiharibu nchi?halafu kwa nini anapenda sana kwenda marekani? kwani nchi za kiarabu hazioni\?nijibu basi
Unahamia chadema ukitokea chama gani? si umesema ww sio CCM na mara nyingi umekuwa ukijinadi hapa ukumbini kuwa huna chama?Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
Kwa nini usimuulize kwa PM?
Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
Aulize kwa PM wakati FaizaFoxy linalipa kama vile Rostam? ana hesabu kali mwenzako. Halafu inahusu nini kuulizana kwa PM mambo ya siasa? Unanchekesha!
Je kwa CDM hakuna mtu yoyote mwenye uwezo anafaa kuwa rais tofauti na a loser Dr Slaa?
Jibu hoja wacha viroja.
Uliza swali au maswali yako nikujibu.
Kwahiyo Ritz umekubali wewe ni kibalaka wa Magamba.Na nyie Pro-CDM JF Mkijibu hili swali naamia CDM..
Kwa nini mnataka Padre Slaa, awe rais wa Tanzania?
mhh!! Kaka kwa mwendo huu sidhani kama atajibu!! Si unaona visingizio viiiiingi!! Haya ngoja tuone kama atajibu maana mhh....!!FF anaweza kujibu kwa jeuri tu Albedo subiri uone