Deal Kubwa WANAJAMII FORUMS- Computers and electronics toka Marekani niagizeni

Hizo brand names ulizosema zote hutengeza bidhaa za ubora huohuo labda useme iwe "fake" lakini kwa mfano HP utayoinunuwa US na hapa kwetu ubora utakuwa uleule na warranty ileile mapungufu utayapata kwenye performance kwa baadhi ya sababu nilizozitaja huko juu, hata power plugs inabidi uzibadili au utumie travellers chargers. Kwa muono wangu na uzoefu wangu wa hivi vitu, kama unanunuwa kompyuta mpya ni bora uinunue hapa hapa kwenye soko lako kutoka kwa mawakala wa hizo brands na si za kutoka US.

Kama ni used, hapo ni habari zingine kabisa. Utanunuwa za kutoka huko kwa kufata unafuu wa bei lakini si kwa ubora.

sawa kabsa wala sikatai.....umesema li li lo kweli. Na swali langu kwa bwana Njele ni kwamba ikitokea nikakuagiza laptop ntakulipa vipi na katika mazingira gani ???
 
Kama we ni mtaalam wa haya mambo usijifanye hujui kuwa Mafriji na Electronics zote za mtumba na mpya unazotumia Bongo zinatoka Japan ambako inatumika µ-law algorithm.
Mambo ya voltage na frequency hayana ishu kubwa.

Mafriji hayana u-law na a-law usiwe punguani hizo ni primarily kwa ajili ya digital telecommunications.
 
Au unafanya kazi kwenye kampuni inayouza computer unaogopa ushindani wa soko? Tunahitaji wengi waingize bidhaa hivyo hata ushindani wa bei utafanya kuteremka wengi tumudu kununua.

Wabongo wananichekesha sana, aliyeleta mada ametangaza kwa sisi wanajamii forums kama tunapenda hizo bidhaa zake kutokana na kwamba bidhaa za hizi nchi za magharibi wanathibiti sana ubora wa bidhaa zao hasa za kutoka nchi za nje, si kama TBS ya wabongo yenye makampuni hewa abroad.

Kila mwaka magari yanayotengenezwa toleo jipya Marekani lazima moja lipelekwe kupimwa kiwango pamoja kwa bender fender kwa kugongesha nyuma na mbele kuangalia athari zinazoweza kumpata mtu akipata ajali. Bongo wanafanya hivyo kwa magari yaingiayo toka Japan na kwingineko? Ndio maana magari mengi yanatafutiwa soko Afrika ambayo huwezi kuyaona nchi za magharibi kwa sababu ya kutofikia kiwango cha ubora wanachotaka. Yale yenye kiwango ndiyo yanayokubaliwa. Kwa kawaida Marekani bidhaa za kigeni zinapaswa kuwa na kiwango cha ubora juu ya kiwango cha kawaida cha bidhaa zinazozalishwa ndani ya USA.

Binafsi naziamini sana bidhaa zao, kwa wale wanaopenda kuzinunua bora wazichukue kuliko hayo makampuni yaliyojaa bongo bidhaa zao hazina uhakika na ubora wake kutokana na virus ya TBS. Bidhaa feke zimejaa ndani ya makampuni ya bongo.

Nashauri mleta mada angetuletea na zile used kwani wengine uwezo wetu umefikia hapo kwa vile tuna viwanja hivyo tunadunduliza kukongeza idadi ya matofali ya kujengea msingi. Asante.

Hapana sifanyi kazi kwenye kampuni unazofikiria wala si kuwa sitaki watu walete au wasinunue hivi vitu. Kitu nnachosema ni kuwa Computers au vitu vya electronics especially zenye mambo ya digital telecommunicatios ni bora kununuwa vilivyotengenezwa specifically kwa soko lako. Ndio maana hata hizi kampuni kubwa zote, huwa wanatengeza different versions za nchi tofauti.

Baadhi tu ya matatizo ni hizo difference za voltage, difference za frequency (hertz) na difference za digital algorithms (a-law u-law) pia kuna difference ya built in (factory installed) software, ambazo mara nyingi huwa specifically installed kwa location. Ingawa watu wengi wanadhani hizi computers ni universal lakini si kweli, hizi unaweza ukazitumia tu, ilimradi, lakini si advisable, nyingi utakuta hata keyboards huwa tofauti nchi na nchi.

Lakini kwa kuwa Watanzania wenyewe TBS haifanyi kazi ipasavyo na hatuna Standards zetu wacha tu tuwe dumping ground.

Mimi nimetowa ushauri tu, kwa upande wangu kama nnachokitaka kipo hapa na kina wakala (sio makanjanja) WAKALA, basi ntakinunuwa hapa hata kama kuna difference kidogo ya bei. Huo ni muono wangu.
 
Hapana sifanyi kazi kwenye kampuni unazofikiria wala si kuwa sitaki watu walete au wasinunue hivi vitu. Kitu nnachosema ni kuwa Computers au vitu vya electronics especially zenye mambo ya digital telecommunicatios ni bora kununuwa vilivyotengenezwa specifically kwa soko lako. Ndio maana hata hizi kampuni kubwa zote, huwa wanatengeza different versions za nchi tofauti.

Baadhi tu ya matatizo ni hizo difference za voltage, difference za frequency (hertz) na difference za digital algorithms (a-law u-law) pia kuna difference ya built in (factory installed) software, ambazo mara nyingi huwa specifically installed kwa location. Ingawa watu wengi wanadhani hizi computers ni universal lakini si kweli, hizi unaweza ukazitumia tu, ilimradi, lakini si advisable, nyingi utakuta hata keyboards huwa tofauti nchi na nchi.

Lakini kwa kuwa Watanzania wenyewe TBS haifanyi kazi ipasavyo na hatuna Standards zetu wacha tu tuwe dumping ground.

Mimi nimetowa ushauri tu, kwa upande wangu kama nnachokitaka kipo hapa na kina wakala (sio makanjanja) WAKALA, basi ntakinunuwa hapa hata kama kuna difference kidogo ya bei. Huo ni muono wangu.

Kwa taarifa yako sifanyi mambo ya kufikirika tu kama ndugu yangu unavyomwaga hapa, nimefanya kazi kampuni ya AMP ambayo inameza mamilioni ya matani ya shaba toka Africa ambayo pats za Electric na eletronic huwa formed, stamped and proccessed na parts hizo sinasambazwa kwenye makampuni mbalimbali nchini Marekani kama Dell, Compaq, makampuni ya simu, nakadhalika kwa ajili ya kuunganisha tu kuunda computer. Wao wana mainjia wao wanaplani miundo ya elements za electronic parts kwa ajili ya computer wanazokusudia kutengeneza, sisi tukawa tunafanya forming ya parts zao. Kwa hilo kwamba hizo computer zatoka china ni ushwahili wa huko Tanzania, tuulize sisi tunaotoka huku ndio tunajua. Tuachane na ushwahili huo ambao hautuletei maendeleo, ni longolongo zisizoisha ambazo kila kukicha ni blabla bila kutupa majibu ya kuodnokana na umaskini.

Kama kuna makampuni yanayouza vifaa vyao marekani kutoka nchi za nje, yanapaswa vitu hivyo viundwe ndani ya Marekani ili kuthibiti kiwango cha ubora. Hakuna kusafirisha products toka nje hasa electric and electronic products, bali wanajenga viwanda ndani ya USA na production zao hufanya na kusimamiwa na Marekani si kama bongo inavyoletewa products za kichina kwenye makontena na kuja kumwaga kariakaoo nk.

Magari ya Kijapana yaliyojaa Marekani viwanda vyake viko ndani ya Marekani, hakuna gari linaloingizwa kutoka japan, ila yanaundwa na kusimamiwa na maofisa viwango wa marekani. Bongo Magari yote yanatelemshwa kutoka melini huwezi linganisha hali hiyo na kuzuia wengine ambao wanatka kununua vitu vilivyotelemshwa kutoka kwenye ndege.

Ulimwengu w leo ni wa free trade, na kila mtu ana uhuru wa kuchagua anachotaka. Mwingine anaridhika na kila cha kutoka China mambacho kimetengenezwa kwa ajili ya kuuzwa Afrika. Wanaoona mbali hata kama wanahitaji kutumia adapter to plug in kwa sababu ya tofauti ya voltage kwao hilo si tatizo kubwa bora kuwa na hiyo ya kutumia adapter ambayo utaitumia muda mrefu kuliko hiyo unayosema ambayo matumizi yake yataanza kukuumiza kichwa soon.

Nimeshuhudia wengi wajapo likizo au kikazi nchini Marekani wanachangamkia kununua vifaa vya electronic hapa Marekani, si sababu ya ubora tu, ila vya marekani gharama ni nafuu ukilinganisha na products za ulaya ambazo ni bei ghali kuliko Marekani. Hii inatokana na Marekani kushindanisha makampuni mengi kwa ubora na usalishaji bila kujali nani anatoka wapi na ushindani huu ndio unaoleta ubora na kupungua bei zake kulinganisha na ulaya.

 
sawa kabsa wala sikatai.....umesema li li lo kweli. Na swali langu kwa bwana Njele ni kwamba ikitokea nikakuagiza laptop ntakulipa vipi na katika mazingira gani ???

Utaelekezwa wapi utakutana naye hapo hapo dar, si kwamba nakutumia, naja navyo mwenyewe huko huko Tanzanial Na si kukutana mtaani, kuna sehemu inayoeleweka kibiashara ambo utaelekezwa kwenda kuchukua bidhaa zako.

Na kwa taarafa yako huu ni mwanzo tu, kwani kuna mpango endelevu wa kuleta bidhaa za jumla mbalimbali kwa wanaotaka kuchangamkia hilo andaeni order tayari iwe nguo au kitu cho chote.
 
Hapana sifanyi kazi kwenye kampuni unazofikiria wala si kuwa sitaki watu walete au wasinunue hivi vitu. Kitu nnachosema ni kuwa Computers au vitu vya electronics especially zenye mambo ya digital telecommunicatios ni bora kununuwa vilivyotengenezwa specifically kwa soko lako. Ndio maana hata hizi kampuni kubwa zote, huwa wanatengeza different versions za nchi tofauti.

Baadhi tu ya matatizo ni hizo difference za voltage, difference za frequency (hertz) na difference za digital algorithms (a-law u-law) pia kuna difference ya built in (factory installed) software, ambazo mara nyingi huwa specifically installed kwa location. Ingawa watu wengi wanadhani hizi computers ni universal lakini si kweli, hizi unaweza ukazitumia tu, ilimradi, lakini si advisable, nyingi utakuta hata keyboards huwa tofauti nchi na nchi.

Lakini kwa kuwa Watanzania wenyewe TBS haifanyi kazi ipasavyo na hatuna Standards zetu wacha tu tuwe dumping ground.

Mimi nimetowa ushauri tu, kwa upande wangu kama nnachokitaka kipo hapa na kina wakala (sio makanjanja) WAKALA, basi ntakinunuwa hapa hata kama kuna difference kidogo ya bei. Huo ni muono wangu.


Njele achana kujibizana na huyu FaizaFox kwani hapa JF hakuna anachokubaliana nacho, kila kitu kupinga tu. We tuletee vivyo vitu, mimi ni mtumiaji sana wa vitu vya kutoka huko hata desktop na laptop yangu ni vya kutoka huko na navitumia zaidi ya miaka 5 tangu nitoke huko haviniletei matatizo. Ngoja nikuagize blackberry amayo ni unlocked hapa bongo hizo bei yake hata iliyotumika ni bajeti ya kudunduliza miezi.
 
Hapana sifanyi kazi kwenye kampuni unazofikiria wala si kuwa sitaki watu walete au wasinunue hivi vitu. Kitu nnachosema ni kuwa Computers au vitu vya electronics especially zenye mambo ya digital telecommunicatios ni bora kununuwa vilivyotengenezwa specifically kwa soko lako. Ndio maana hata hizi kampuni kubwa zote, huwa wanatengeza different versions za nchi tofauti.

Baadhi tu ya matatizo ni hizo difference za voltage, difference za frequency (hertz) na difference za digital algorithms (a-law u-law) pia kuna difference ya built in (factory installed) software, ambazo mara nyingi huwa specifically installed kwa location. Ingawa watu wengi wanadhani hizi computers ni universal lakini si kweli, hizi unaweza ukazitumia tu, ilimradi, lakini si advisable, nyingi utakuta hata keyboards huwa tofauti nchi na nchi.

Lakini kwa kuwa Watanzania wenyewe TBS haifanyi kazi ipasavyo na hatuna Standards zetu wacha tu tuwe dumping ground.

Mimi nimetowa ushauri tu, kwa upande wangu kama nnachokitaka kipo hapa na kina wakala (sio makanjanja) WAKALA, basi ntakinunuwa hapa hata kama kuna difference kidogo ya bei. Huo ni muono wangu.

Acha kudanganya watu wewe kuna kitu kinaitwa ISO unakijua? Sasa kampuni itengeneze cmp kwa ajili ya nigeria,uganda version yake,urusi vr yake,somalia vrs yake si gharama kwa kampuni usika? Na ndio maana hao ISO wapo kwa kazi hiyo ebu google kidogo usafishe macho
 
Acha kudanganya watu wewe kuna kitu kinaitwa ISO unakijua? Sasa kampuni itengeneze cmp kwa ajili ya nigeria,uganda version yake,urusi vr yake,somalia vrs yake si gharama kwa kampuni usika? Na ndio maana hao ISO wapo kwa kazi hiyo ebu google kidogo usafishe macho

FaizaFox ni kupinga na kukatisha tamaa wengine, mwacheni huyo aje aongeze ushindani wa biashara kwa ubora wake.
 
Hakuna mapovu,ni katika kutangaza biashara,lazima ukweze bidhaa zako ili ionekane ina thamani.

Tukija kwenye ubora wa bidhaa hizi za brands kubwakubwa/international,kampuni husika huwa inahakikisha ubora kabla hata haijakaguliwa na wengine,kwa sababu ushindani ni mkubwa,ikikutwa TOSHIBA,iPad, Hp.popote pale iwe Mtwara,Chicago,Tokyo ina ubora dhaifu,ambaye yuko responsible ni kampuni husika na anakuwa anajiharibia soko.Ndo maana utaona mara nyingi tu toyota wana recall magari USA bila hata shirika la viwango kugundua,ili kulinda heshima na kutotoa mianya kwa wapinzani.

Kwa hiyo issue hapa ni kununua bidhaa original(siyo fake) bila kujali made in wapi,international brands zote zinakuwa na warranty worldwide kumrahisishia kazi mteja.Pia muhimu kuangalia spefications zinazoendana na nchi yako.Kwa mfano laptop yenye 3G,inabidi uangalie kama ni Marekani ilikuwa inatumia nini verizon ama At&t kwa sababu moja ni GSM nyingine CDMA.

Afisa,mimi naomba iPad 2 Wi-Fi +3G,GSM....second hand ..hehe(zinakuaga bomba sana hizi most of the time)
 
Asante wote waliojibu. Walioleta maagizo nayafanyia kazi. Wale ambao bado sijawajibu maagizo yao wavute subira kwani nafanya utafiti ili wapate full information pamoja na bei zake. Natanguliza shukrani JF.
 
Hizo brand names ulizosema zote hutengeza bidhaa za ubora huohuo labda useme iwe "fake" lakini kwa mfano HP utayoinunuwa US na hapa kwetu ubora utakuwa uleule na warranty ileile mapungufu utayapata kwenye performance kwa baadhi ya sababu nilizozitaja huko juu, hata power plugs inabidi uzibadili au utumie travellers chargers. Kwa muono wangu na uzoefu wangu wa hivi vitu, kama unanunuwa kompyuta mpya ni bora uinunue hapa hapa kwenye soko lako kutoka kwa mawakala wa hizo brands na si za kutoka US.

Kama ni used, hapo ni habari zingine kabisa. Utanunuwa za kutoka huko kwa kufata unafuu wa bei lakini si kwa ubora.
Si kweli kuna quality checkers nchi za wenzetu ambapo wanahakikisha bidhaa zote zinazo ingia maduka makubwa zinapitia performace taste ambazo wameziweka. Trust me bidhaa inayotoka direct china via e-bay si sawa na inayouzwa madukani kwenye masoko ya wazungu.

Hila inanipa wasiwasi kidogo na huyu jamaa mbona bei zake zipo chini sana (based na specks zake kubwa kubwa) au labda ndio huko marekani kuna ubwete it makes me think its either they're recondition (nonin much wrong au labda anachopoloa e-bay na yeye). Au labda mzalendo tu asie hitaji faida kubwa.
 
Si kweli kuna quality checkers nchi za wenzetu ambapo wanahakikisha bidhaa zote zinazo ingia maduka makubwa zinapitia performace taste ambazo wameziweka. Trust me bidhaa inayotoka direct china via e-bay si sawa na inayouzwa madukani kwenye masoko ya wazungu.

Hila inanipa wasiwasi kidogo na huyu jamaa mbona bei zake zipo chini sana (based na specks zake kubwa kubwa) au labda ndio huko marekani kuna ubwete it makes me think its either they're recondition (nonin much wrong au labda anachopoloa e-bay na yeye). Au labda mzalendo tu asie hitaji faida kubwa.

Mimi sidhani kama bei zake ziko chini, hii inategemeana na ukubwa wa volume yake. Hizo alizoweka ni zile ambazo hazichukui memory kubwa sana, lakini kwa matumizi ya nchi yetu kwa makampuni mengi, shule au cafe memory yake ni kubwa kutosha. Nimejaribu kugoogle na nimeona ni bei fare, kumbe wanaotuuzia zaidi ya milioni wanatafuta faida kubwa. Na labla kuna middle people wanaopandisha bei, maana bongo hujauza kitu hadi baunsa ametia pua. Ndio ujamaa,
 
Si kweli kuna quality checkers nchi za wenzetu ambapo wanahakikisha bidhaa zote zinazo ingia maduka makubwa zinapitia performace taste ambazo wameziweka. Trust me bidhaa inayotoka direct china via e-bay si sawa na inayouzwa madukani kwenye masoko ya wazungu.

Hila inanipa wasiwasi kidogo na huyu jamaa mbona bei zake zipo chini sana (based na specks zake kubwa kubwa) au labda ndio huko marekani kuna ubwete it makes me think its either they're recondition (nonin much wrong au labda anachopoloa e-bay na yeye). Au labda mzalendo tu asie hitaji faida kubwa.

Napata picha kwamba watu wamezoea kununua kutoa kwa wale wanaopenda kutengeneza super profit au ni wale wenye kujali kuingiza pesa nyingi mfukoni bila kujali wateja wao. Nikikuletea gharama za awali za kununua computer hizo toka warehouse za marekani utajua kama bei ninazouza ni zile zinazofuata mfumo wa kweli katika gharama za msingi, operation na profit %.

Ununuzi wa bidhaa marekani mara nyingi watu hatuingii kichwa kichwa, tunaenda kununua siku zile za special sale ambazo dau huteremshwa hapo ndipo pa kuchangamkia deal. Na kwa wenye Tax ID for business wanapata bidhaa moja kwa moja toka warehouse ambako bei ni jumla na hapo mdau wa JF unapoweza kufaidi matunda yake.

Computer kana zimetoka ulaya bei ni juu, na kama zimetoka Marekani bei ni chini kidogo na kama mtu anasafiri nazo mwenyewe gharama ya usafirisha hupungua. Ndio maana tumeweka hadharani deal hii kwa wadau wa JF kama special offer. Changamkieni.

Kama kuna wanaohitaji kwa ajili ya Cafe, lab za shule, vyuo nk wanakaribishwa tutasaidia kukuleteeni bidhaa hapo hapo hadi raha.
 
Mimi sidhani kama bei zake ziko chini, hii inategemeana na ukubwa wa volume yake. Hizo alizoweka ni zile ambazo hazichukui memory kubwa sana, lakini kwa matumizi ya nchi yetu kwa makampuni mengi, shule au cafe memory yake ni kubwa kutosha. Nimejaribu kugoogle na nimeona ni bei fare, kumbe wanaotuuzia zaidi ya milioni wanatafuta faida kubwa. Na labla kuna middle people wanaopandisha bei, maana bongo hujauza kitu hadi baunsa ametia pua. Ndio ujamaa,
Kaka sitaki kuonekana kama napambia biashara ya jamaa kwakua sifaidiki nayo wala hatujuani, hila kialisia jamaa anauza kwa bei poa saaana.

Hila nimemuelewa kwa sababu anunui dukani, kuna kona kaifuma na kwakuwa ana leseni ya biashara alipii ushuru bidhaa hilo ndio linasaidia kuja na bei zake za uzalendo (eniwei bado hajafika bongo akakutana na middle man). Ni hilo tu nadhani ndio kumbe anapotokea maaana embu jaribu google laptop zenye processors za i5 kidogo bado zipo dear na bei zake kwa kweli ni poa sana, kwa nyingi ambazo anauza yeye. Uzuri wake kaweka make si una-google kumaliza mzuzu wa fitina kibei.
 
unaruhusu kulipa kwa instalment au cash???

Thanks, for your rapid respond. Hatujafikia kiwango cha kulipa kwa installment kwa sababu Tanzania bado mfumo wa financing haujawa mzuri na tunaweza ingizana mitaani bila kukusudia. Bora mtu ajiandae kulipa full paymemt, na kama pesa ni nyingi tunapendelea zaidi hundi ya bank ili kuondoa matatizo yanayoweza kutokea kutokana na fake currency na mengineyo.
.
 
Nipo njiani kuja likizo toka huku niliko. Kuna wengi wanalalamika computer na vifaa vingine vya kichina kutokuwa mathubuti.
Wiki chache zijazo mwanzoni mwa Machi natarajia kutua bongo toka huku Marekani, hivyo kwa wanaotaka genuine ya vifaa vya electronic na computers wanipm:Uses Laptops


Used laptop computers (Deli & Compaq) from Tsh 275,000/= and up kutegemeana na ukubwa na capacity ya memory na vikorombwezo vyake. Ni-pm nikuandalie ipi ikurahizishie kutuma mada na taswiras kwa urahisi hapa JF badala ya kutumia simu.
$(KGrHqQOKjQE1zdN0W,rBNs4!C,8oQ~~_35.JPG
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg
140.jpg



Brand New Laptop Computers (Deli, compaq etc.) From Tshs 750,000/=

1.
AS5750-6636_a1_main
2.
P755-S5285_a1_main
3.
G6-1B70US_a1_main
4.
2000-351NR_a1_main
5.
L745D-S4350_a1_main


1. Enjoy rich HD entertainment at home or on the road on the gorgeous 15.6" widescreen LCD display with Intel® HD 3000 graphics. Throw in cool convenience features and you have everything you need within reach to power through daily tasks.

2. Toshiba delivers above-average performance and full-featured performance with this Toshiba Satellite® Laptop. It has a generous 15.6" diagonal HD TruBrite™ display along with harman/kardon® stereo speakers tuned with sound enhancements from Dolby® and Waves Audio.

3. More people choose HP PCs than any other brand, for good reason. You get more for your money. More value. More trust in the name. Better design. Don't settle for less. Demand more and get it with this HP laptop.

4. Own a genuine HP laptop. Now easier than ever! Get more freedom now. Grab HP's most affordable laptop and go! The new HP 2000 places genuine HP reliability in your hands at a must-have price. Take your work and fun with you and get connected online for your everyday tasks and entertainment at a low price.

5. Get the best of all world with this Toshiba 14" widescreen Satellite® laptop - a fashionable and affordable PC that's ideal for students, families and small businesses who want power and portability with a little extra room.


Brand New and modern Desk Top Computers for new generation kama unavyoziona ni all in one kama zilivyo laptop. Processor built in display monitor, just get it and plug it on wall then start to scrow up and down bars and enjoy surfing.
Price: From Tshs 850,000/= and up.
  1. 100-5155_a1_main
    2.
    TS310-1125_a1_main
    3.
    TS610-1030_a1_main
    4.
    VPCL212FXB_a1_main
1. The HP Omni100 gives you the PC you need in a modern, all-in-one design. Simple to set up - plug it in to turn on a world of connections, entertainment and productivity. Designed to make your digital life easy, entertaining and supremely stylish.

2. The world of touch - HP TouchSmart 310. The modern design and HP's next generation of powerful built-for-touch applications makes the HP TouchSmart 310 computing experience more intuitive, personal and fun. So reveal your genius - with a touch.

3. From the elegant design to the advanced features to the incredibly powerful suite of built-for-touch applications, the HP TouchSmart PC redefines what touch can do for you - and what you can do with a touch.

4. A powerful All-in-One Desktop with a 24" diagonal multi-touch display for intuitive touch access to the web, HD movies, music, photos and more.

KWA MAELEZO ZAIDI ni-pm HII NI SPECIAL OFFER KWA WANAJAMII FORUMS

You can reach me by email:sndoyela@yahoo.com

PMed. Hizo picha za mstari wa kwanza 1-5, ndio kitu nilichokuwa naongelea. Na zile battery ni hizi
index.jpg

Kila la heri Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom