engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Lakini Dr Kasema kuwa anakwenda Appolo atakapo rudi ndio ataweka wazi,so tusubiri na subira huvuta kheri
Mkuu Pasco, kwa vile tukio hili lina hisia kali na limeleta sintofahamu katika jamii nina uhakika DCI ametoa amaelezo hayo kwa sababu hizo. Maelezo yake hayajitoshelezi na yanazidi kuchochea hisia zaidi ya kufafanua.Mkuu Ngongo, the disclosure rights lies with the patient. Hivyo hilo ni jukumu la Mwakyembe mwenyewe!.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari mchana wa leo. Katika maelezo yake, DCI anasema kwamba:
"Kutokana na uchunguzi wa kipolisi ulioshirikisha Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, hakuna ushahidi juu ya hilo".
Alipoulizwa na waandishi wa habari:
Je, Dr. Mwakyembe anasumbuliwa na maradhi gani?
DCI alijibu kwamba:
"Kazi ya Jeshi la Polisi sio kuchunguza maradhi bali kuchunguza tuhuma, na baada ya uchunguzi wake kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Jeshi la Polisi limebaini kwamba tuhuma kwamba Dr. Mwakyembe amelishwa sumu hazina ukweli."
In a country notorious for impunity and pervaded with massive corruption like Tanzania, such facile answers from authorities are not entirely unanticipated. Whether DCI's remarks are believable or not, Sitta should equally be pinned down to elaborate and corroborate his poison allegations so that to balance things.
Kama hajalishwa sumu wangetoa ufafanuzi nini kinamsibu ?.
Mkuu Wambandwa, zile tuhuma zimeshindwa kuthibitishwa kutokana na kukosekana ushirikiano.Hivi polisi hao hao zile zile tuhuma alizotoa kwamba alshabaab wanataka kumuua walizifanyia kazi na kutoa maelezo km walivyoharakisha kukanusha hili la kulishwa sumu?
DCI hadi leo hajajibu malalamiko ya Dk MwakyembeKama Hiyo ndiyo taarifa ya kipolisi basi either Samweli sita ajiuzuru uwazili kwa uzushi ama aje mbele ya vyombo vya habari na kuweka wazi ushahidi wake na kuwaumbua polisi.
ni mtizamo wangu tu!
Iko hivi Dr Mwakyembe ni kweli kabisa hakuwekewa sumu kwenye chakula. Sumu iliingiaje kwenye mfumo wa kimwili wa Harrison? Alikuwa akiviziwa sana na jamaa walimwekea sumu kwenye sabuni ya kunawia mikono Dodoma, mara baada ya kuitumia ile sabuni ilitoweka. Cartel ya waliohusika kufanya uharamia huo wa kumtegeshea sumu Mwakyembe inaongozwa na Mbunge wa Monduli, ambaye bunge lilimlazimisha aachie ngazi nafasi ya uwaziri mkuu. Wahusika wote waliisha lipwa kwa kazi hiyo na wana kiapo cha kutosema kwa mtu yeyote.
Wanabodi, tuacheni conspiracy theories, vuteni subira kwanza mkijue anachoumwa ndipo mziendeleze hizi conspiracy theories zenu!.
Serikali makini itamshughulikia Sitta haraka iwezekanavyo, scrap him his ninisterial positions na kumpandisha kizimbani kwa kosa la "uchochezi"!.
Kama hajalishwa sumu wangetoa ufafanuzi nini kinamsibu ?.
This is too Sweety Radhia.In a country notorious for impunity and pervaded with massive corruption like Tanzania, such facile answers from authorities are not entirely unanticipated. Whether DCI's remarks are believable or not, Sitta should equally be pinned down to elaborate and corroborate his poison allegations so that to balance things.