DCI Manumba anajua msiumize vichwa

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
1,947
253
Mtu keshakataa kinachofikiriwa na wengi kuhusu kuumwa kwa Dr Mwakiembe, Sasa bado mnajiuliza anaumwa nini wakati DCi anajua kila kitu.
Mbaneni aseme bayana
 
tumsubiri Manumba atakulupuka tu siku huzi za jirani ni kawaida ya viongizi wa ovyo kukurupuka
 
Manumba laana na ikuue kufa kabisa ulimtegeshea dr slaa vinasa sauti akachomoa hii nchi siyo ya kwako.
 
we manumba na ulaaniwe wewe na kizazi chako cha nyoka na mafisadi waliokutuma, siku ya kiama nyie ndio mtakua kuni kule jehanam
 
Mamumba si kazi yake kutangaza ugonjwa wa mtu, Manumba kazi yake kuchunguza uhaini, kisha sema sio sumu kwa mujibu wa madaktari waliofanya uchunguzi. Ni Mwakyembe wa kusema anachoumwa.

Kwa mtazamo wangu, Mwakayembea ana ngoma na hizo no compications za ngoma. Na hiyo yote ni laana ya Mungu kwa kuwatesa wa Tanzania kwa uongo wake uliopelekea mitambo ipo lakini kutofanyishwa kazi huku watu wakiteseka na wengine kufa (incubators).

Sasa anaiona joto ya jiwe. Mbona mitambo hiyo hiyo kwa sasa inafanya kazi na yeye yupo kimya? Sidhani kama kuna mmoja hapa anaweza akashinda na mama kilintoni. Cheza na mkeo nyumbani usicheze na Mke wa Kilintoni. Kuja kwake tu, mitambo imewaka, na kila mmoja kimyaaa.

Hata Mzee Mwanakijiji aliyepiga zumari sana kuhusu Dowans sasa hivi kaufyata amebaki na hekaya zake za kula kuliwa. Teh teh teh teh.
 
Mamumba si kazi yake kutangaza ugonjwa wa mtu, Manumba kazi yake kuchunguza uhaini, kisha sema sio sumu kwa mujibu wa madaktari waliofanya uchunguzi. Ni Mwakyembe wa kusema anachoumwa.

Kwa mtazamo wangu, Mwakayembea ana ngoma na hizo no compications za ngoma. Na hiyo yote ni laana ya Mungu kwa kuwatesa wa Tanzania kwa uongo wake uliopelekea mitambo ipo lakini kutofanyishwa kazi huku watu wakiteseka na wengine kufa (incubators).

Sasa anaiona joto ya jiwe. Mbona mitambo hiyo hiyo kwa sasa inafanya kazi na yeye yupo kimya? Sidhani kama kuna mmoja hapa anaweza akashinda na mama kilintoni. Cheza na mkeo nyumbani usicheze na Mke wa Kilintoni. Kuja kwake tu, mitambo imewaka, na kila mmoja kimyaaa.

Hata Mzee Mwanakijiji aliyepiga zumari sana kuhusu Dowans sasa hivi kaufyata amebaki na hekaya zake za kula kuliwa. Teh teh teh teh.

Sijui na sina pa kujihakikishia kuwa Mwakyembe ana VVU. Suppose sasa angekuwa hana VVU,ingetumika njia gani ya kumuadabisha mbali na sumu?

Au sumu hiyohiyo halafu we ungekuja JF na kusema kalaanika? Au ungesema kuna waliochukizwa na matatizo ya umeme yasiyokwisha kwa hiyo wakaamua kumloga?

Hiyo "alibi" mliyotumia, was perfect one... Good job!
 
Back
Top Bottom