MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Mtu keshakataa kinachofikiriwa na wengi kuhusu kuumwa kwa Dr Mwakiembe, Sasa bado mnajiuliza anaumwa nini wakati DCi anajua kila kitu.
Mbaneni aseme bayana
Mbaneni aseme bayana
Manumba laana na ikuue kufa kabisa ulimtegeshea dr slaa vinasa sauti akachomoa hii nchi siyo ya kwako.
Mamumba si kazi yake kutangaza ugonjwa wa mtu, Manumba kazi yake kuchunguza uhaini, kisha sema sio sumu kwa mujibu wa madaktari waliofanya uchunguzi. Ni Mwakyembe wa kusema anachoumwa.
Kwa mtazamo wangu, Mwakayembea ana ngoma na hizo no compications za ngoma. Na hiyo yote ni laana ya Mungu kwa kuwatesa wa Tanzania kwa uongo wake uliopelekea mitambo ipo lakini kutofanyishwa kazi huku watu wakiteseka na wengine kufa (incubators).
Sasa anaiona joto ya jiwe. Mbona mitambo hiyo hiyo kwa sasa inafanya kazi na yeye yupo kimya? Sidhani kama kuna mmoja hapa anaweza akashinda na mama kilintoni. Cheza na mkeo nyumbani usicheze na Mke wa Kilintoni. Kuja kwake tu, mitambo imewaka, na kila mmoja kimyaaa.
Hata Mzee Mwanakijiji aliyepiga zumari sana kuhusu Dowans sasa hivi kaufyata amebaki na hekaya zake za kula kuliwa. Teh teh teh teh.