Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanaJF
Mgogolo mkubwa umetokea kati ya DC Estelina KIlasi na wananchi wa wilaya mpya ya Wanging'ombe baada ya yeye kutaka ujenzi wa makao makuu ya wilaya yawe Mdandu na siyo Igwachanya kama ilivyotangazwa na serikali. Sababu anayotoa ni kwamba Igwachanya hakuna ofisi za kutosha kwa wafanyakazi wa halmashauri kwa sasa. Kimsingi jambo hili limewaudhi wananchi wengi waliokuwa wanaunga mkono uwepo wa makao makuu Igwachanya kwa kuwa ni katikati ya wilaya hii mpya.
Mgogolo mkubwa umetokea kati ya DC Estelina KIlasi na wananchi wa wilaya mpya ya Wanging'ombe baada ya yeye kutaka ujenzi wa makao makuu ya wilaya yawe Mdandu na siyo Igwachanya kama ilivyotangazwa na serikali. Sababu anayotoa ni kwamba Igwachanya hakuna ofisi za kutosha kwa wafanyakazi wa halmashauri kwa sasa. Kimsingi jambo hili limewaudhi wananchi wengi waliokuwa wanaunga mkono uwepo wa makao makuu Igwachanya kwa kuwa ni katikati ya wilaya hii mpya.