Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
natamani nimkamate huyo mama kwa mikono yangu nimcharaze bakora sita ili aache ujinga wake
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
Kwakuwa wewe mwenye gpa ya 4.0 sio mvivu wa kusoma, ni katiba ipi ya Tanzania inayowatambua ma dc na ma rc? Ibara ya ngapi?
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
jamani hebu mhurumieni maana hata swali hakulielewa hiyo gpa ya 4.0 aliipataje? hata mie ambae sijasoma nilielewa swali aliloulizwa lilitokana na na maelezo yake kwamba madc wanaruhusiwa kushabikia chama chochote kama wasomi wenyewe wenye upper second wako hivi ndio maana rais wa nchi hajui kwa nini tu masikini<br />
<br />
Acha majibu mepesi mepesi kaka jibu swali uliloulizwa la kikatiba please
DC wa Igunga anayo haki ya kikatiba ya kushabikia na hata kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa. Tatizo letu magwanda wengi wenu ni wavivu wa kusoma kwahiyo hata katiba yenu hamuielewi.
Leo gazeti la Majira limemnukuu Mkuu wa Wilaya ya Igunga Fatuma Kimario akitabiri kwamba CCM itashinda tu Igunga. Kauli hii imekaa vipi kutolewa na kada mkuu wa CCM katika Wilaya hiyo ambaye anajificha nyuma la pazia la serikali? Inafaa CDM wawasilishe malalamiko yao kwa NEC mara moja.
Isitoshe huu utakuwa ni ushahidi mkubwa katika kesi ya CDM ya kupinga matokeo iwapo mgombea wa CCM atashinda.
Mmh Mwingine au yule alotaka kubakwa ?
Acha uongo........mtumishi wa umma kama DC hapaswi kuwa mwanachama wa chama cha siasa kikatiba
nahisi we kabisa. nape alipopelekwa huku MASASI hakuwa kada wa chama? mbona unataka uonekane kihivyo? huwezi kuwa DC/RC kama huna kadi ya CCM. ndo maana CDM katika mikakati yao, ni kuziondoa nafasi hizo na kama zitakuwepo wapatikane kwa kuchaguliwa sio kuteuliwa.
wakichaguliwa na wananchi watafanya kazi wakiwajibika kwa wananzengo wenyewe tofauti na sasa wanapowajibika kwa CCM