Kq
Kama mpumbavu na mjinga ni matusi, basi Mkapa akafunguliwe jalada LA kesi. Maaan kipindi cha kampeni za uraisi Mwaka Jana pale Jangwani alitukana wafuasi wa ukawa kuwa ni wapumbavu na malofa.
Ikumbukwe Mkapa hana kinga kwa makosa anayoyafanya sasa. Katiba inamlinda kwa makosa aliyo yafanya akiwa rais....haya ndiyo hawezi kushitakiwa akiwa madarakani ama hata akitoka madarakani
Mpumbavu na mjinga sio matusi. Precedent ya sugu vs republic(pinda) ipo kama stare decisis et non quieta movere.
Kama mpumbavu na mjinga ni matusi, basi Mkapa akafunguliwe jalada LA kesi. Maaan kipindi cha kampeni za uraisi Mwaka Jana pale Jangwani alitukana wafuasi wa ukawa kuwa ni wapumbavu na malofa.
Ikumbukwe Mkapa hana kinga kwa makosa anayoyafanya sasa. Katiba inamlinda kwa makosa aliyo yafanya akiwa rais....haya ndiyo hawezi kushitakiwa akiwa madarakani ama hata akitoka madarakani