Msichoke
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 569
- 400
Philimon Shelutete Dc wa Geita anatuhumiwa na Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Geita kwa kuchakachua nafasi za ufadhili wa masomo kwa ajili ya watoto wanaoishi mazingira magumu zinazotolewa na kampuni ya Mgodi wa Geita na kuweka jina la mtoto wake.Je tutafika kwa stahili hii?