DC Hapi awa mgeni rasmi ufungaji wa mashindano ya vikosi ya vikosi vya JWTZ Brigedi ya Mashariki

Egnecious

JF-Expert Member
Jul 8, 2015
875
960
a7fc041f418e19049e8377891a92c0b2.jpg


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni leo amefunga mashindano ya vikosi mbalimbali vya JWTZ Brigedi ya Mashariki Lugalo jijini Dar es salaam.
Hii ni kufuatia mualiko wa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha mashindano hayo yaliypfanyika uwanja wa jeshi Lugalo jijini Dar es salaam.
Akimkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Brigedi ya Mashariki (Chui) Brigedia Jenerali S.S. Othman alimueleza mgeni rasmi kuwa Jeshi la wananchi wa Tanzania limekua na utaratibu wa kushiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi, hivyo mashindano hayo ni sehemu ya maandalizi hayo.
Akizungumza na Maafisa, askari na washiriki wote, Hapi alisema Tanzania imepata heshima kubwa kutokana na jeshi letu kushiriki mashindano mbalimbali kama Olympic na yale ya Afrika Mashariki. Ushiriki huo hauna budi kuendelezwa, alisema Mh. Hapi.
Mkuu huyo wa wilaya alimshukuru Mkuu wa Brigedi kwa heshima kubwa aliyompa kumualika kufunga Mashindano yao.
ed5d4df37cbfad16372b64362bbb8aa3.jpg
 
a7fc041f418e19049e8377891a92c0b2.jpg


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni leo amefunga mashindano ya vikosi mbalimbali vya JWTZ Brigedi ya Mashariki Lugalo jijini Dar es salaam.
Hii ni kufuatia mualiko wa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha mashindano hayo yaliypfanyika uwanja wa jeshi Lugalo jijini Dar es salaam.
Akimkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Brigedi ya Mashariki (Chui) Brigedia Jenerali S.S. Othman alimueleza mgeni rasmi kuwa Jeshi la wananchi wa Tanzania limekua na utaratibu wa kushiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi, hivyo mashindano hayo ni sehemu ya maandalizi hayo.
Akizungumza na Maafisa, askari na washiriki wote, Hapi alisema Tanzania imepata heshima kubwa kutokana na jeshi letu kushiriki mashindano mbalimbali kama Olympic na yale ya Afrika Mashariki. Ushiriki huo hauna budi kuendelezwa, alisema Mh. Hapi.
Mkuu huyo wa wilaya alimshukuru Mkuu wa Brigedi kwa heshima kubwa aliyompa kumualika kufunga Mashindano yao.
ed5d4df37cbfad16372b64362bbb8aa3.jpg
Kana Maradhi ya UKIMWI au TB Mbona kamekonda naona Nguo tuu
 
Mkuu Uimara wa nini na kipi kinakutia kichwa kuamini ulichoandika hebu tuwekee huo uimara hapa na sisi tuupitie.
 
Mkuu Uimara wa nini na kipi kinakutia kichwa kuamini ulichoandika hebu tuwekee huo uimara hapa na sisi tuupitie.
 
Jeshi letu ni moja ya majeshi yenye vikosi vyenye nguvu africa na dunia imeshika nafasi ya 19 sasa we leta dharau tu.
 
Kana Maradhi ya UKIMWI au TB Mbona kamekonda naona Nguo tuu
Wewe mwanadam uliyetoka mavumbini mbona unatumia kauli zisizo na staha kwa binadam mwenzio? Maradhi uliyoyataja hapo unafikiri watu hupenda kuyapata?
Usinyanyapae mtu usije kujitafutia laana za bure kwa Muumba wako.
 
Back
Top Bottom