huyu DC anapaswa kurejeshwa kazini mara moja haya ndo majembe tunayataka.
nakuunga mkono mkuu coz tukipata wakuu wa wilaya kama huyu wakushirikiana na Magufuli nchi itanyooka.
Nimemkumbuka shujaa wangu huyu. Hii nchi watu wanalala sana. Uko wapi Mzee Mnali??Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi. Kuna walimu 32 wamechapwa. Mkuu wa wilaya aamuru polisi kucharaza bakora walimu 32. Ni kutokana na matokeo mabaya ya mtihani darasa la saba. MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali aliamuru polisi mmoja kuwachapa viboko walimu katika shule tatu za msingi zilizo Bukoba, kutokana na wilaya hiyo kuwa ya mwisho katika matokeo ya darasa la saba.
Jamani tumefika huko?
Sio PM ila naye alikuwa wa kusini.Kuna watu wengi mtaani wanadai aliyewacharaza walimu Bukoba ni MR PM wa sasa! Tafadhali watu warejee huu uzi kupata ukweli wa aliyewacharaza walimu
Awalipe nani? Wale walimu walikuwa wakifika shule wanasaini register kisha wanaondoka kwenda kufanya biashara ya bodaboda...wkt huo bodaboda ndo zimeingia sokoni na zinalipa..Lakini wale jamaa si walilipwa fidia na kuhamishwa juu baada ya kushitaki mahakamani?
Sawa anaweza kwenda na spidi lakini asivunje sheriaSio PM ila naye alikuwa wa kusini.
Yule anafaa kurudishwa kwenye system. Anaweza kwenda sawa Na spidi ya Magufuli