Aisee,
Kumbe bado kuna wenye uchungu na hii inji!
Kama kweli analilia utendaji mbovu kutoka moyoni basi Mungu ambariki sana, na awapige kiboko hao walioharibu kazi ya utumishi wa umma.
Kama ana uchungu kweli abwage
manyanga!
labda jamaa anapiga na ndio maana mama hana wasi wasi atampooza baadae!mama uso mkavu hana hata aibu kwa uozo alioufanya.!
Hicho kikao kimafanyikia bafuni au? maana hizo tiles sio za kwenye chumba cha mkutano na jinsi zilivyojengwa kama bafuni au chooni vile. Sorry kwa maneno magumu
Aisee,
Kumbe bado kuna wenye uchungu na hii inji!
Kama kweli analilia utendaji mbovu kutoka moyoni basi Mungu ambariki sana, na awapige kiboko hao walioharibu kazi ya utumishi wa umma.
Kama ana uchungu kweli abwage
manyanga!
Hicho kikao kimafanyikia bafuni au? maana hizo tiles sio za kwenye chumba cha mkutano na jinsi zilivyojengwa kama bafuni au chooni vile. Sorry kwa maneno magumu