Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,016
- 54,299
Wana JF na Ma dr nawasalimu wote.
Napenda kufahamishwa kuhusu baadhi ya dawa mfano Ampiclox umeandikiwa 1x3 ikiwa na maana asubuhi kidonge kimoja,mchana kimoja,na jioni kimoja.Kuna dawa za maji kama Cophydrex nayo unaandikiwa kijiko 1x3 inakuwa kama hiyo dawa ya kwanza kuitaja.
Swali langu kwa ma dr na wataalam usiku wa huwezi endelea na dozi mpaka asubuhi?Yaani jioni ukinywa saa sita usiku unakunywa tena mpaka dozi itakapokwisha.
Napenda kufahamishwa kuhusu baadhi ya dawa mfano Ampiclox umeandikiwa 1x3 ikiwa na maana asubuhi kidonge kimoja,mchana kimoja,na jioni kimoja.Kuna dawa za maji kama Cophydrex nayo unaandikiwa kijiko 1x3 inakuwa kama hiyo dawa ya kwanza kuitaja.
Swali langu kwa ma dr na wataalam usiku wa huwezi endelea na dozi mpaka asubuhi?Yaani jioni ukinywa saa sita usiku unakunywa tena mpaka dozi itakapokwisha.