Dawa za Vikombe ni Udhoofu wa Serikali ya CCM

Haki

JF-Expert Member
Jan 14, 2009
356
17
Nilikuwa naamini JK ni shujaa, mchapakazi, lakini matukio ya dawa za vikombe yanayoendelea nchini ni ishara kwamba hatuna strong central government.

Moja ya jukumu la serikali ni kuhakikisha Taifa linakuwa na afya bora, lakini matukio ya hivi karibuni yanaonesha serikali ya CCM haijali maslahi ya WTZ. Wananchi wanakufa kwa sababu ya ushirikina na ujinga uliopo miongoni mwa WTZ wengi. Wenzetu (develop countries) walipoanza kuadvance ktk technology na science, walihakikisha kila dawa au theory inafanyiwa kazi-research kabla ya kupewa ruhusa ya kuuzwa au kutangazwa ktk public level.

Si walaumu WTZ, najua hawana choice ya kufanya, lakini serikali ya CCM inabidi ishitakiwe kwenye international court kwa mauaji yanayofanyika.
May Allah bless TZ.
 
Medical research

Biomedical research (or experimental medicine), in general simply known as medical research, is the basic research, applied research, or translational research conducted to aid and support the body of knowledge in the field of medicine. Medical research can be divided into two general categories: the evaluation of new treatments for both safety and efficacy in what are termed clinical trials, and all other research that contributes to the development of new treatments. The latter is termed preclinical research if its goal is specifically to elaborate knowledge for the development of new therapeutic strategies. A new paradigm to biomedical research is being termed translational research, which focuses on iterative feedback loops between the basic and clinical research domains to accelerate knowledge translation from the bedside to the bench, and back again.
The increased longevity of humans over the past century can be significantly attributed to advances resulting from medical research. Among the major benefits have been vaccines for measles and polio, insulin treatment for diabetes, classes of antibiotics for treating a host of maladies, medication for high blood pressure, improved treatments for AIDS, statins and other treatments for atherosclerosis, new surgical techniques such as microsurgery, and increasingly successful treatments for cancer. New, beneficial tests and treatments are expected as a result of the human genome project. Many challenges remain, however, including the appearance of antibiotic resistance and the obesity epidemic.
Most of the research in the field is pursued by biomedical scientists, however significant contributions are made by other biologists, as well as chemists and physicists.
 
Nilikuwa naamini JK ni shujaa, mchapakazi, lakini matukio ya dawa za vikombe yanayoendelea nchini ni ishara kwamba hatuna strong central government.

Moja ya jukumu la serikali ni kuhakikisha Taifa linakuwa na afya bora, lakini matukio ya hivi karibuni yanaonesha serikali ya CCM haijali maslahi ya WTZ. Wananchi wanakufa kwa sababu ya ushirikina na ujinga uliopo miongoni mwa WTZ wengi. Wenzetu (develop countries) walipoanza kuadvance ktk technology na science, walihakikisha kila dawa au theory inafanyiwa kazi-research kabla ya kupewa ruhusa ya kuuzwa au kutangazwa ktk public level.

Si walaumu WTZ, najua hawana choice ya kufanya, lakini serikali ya CCM inabidi ishitakiwe kwenye international court kwa mauaji yanayofanyika.
May Allah bless TZ.

Nadhani ndugu yangu usingelileta hili humu jf. Nina maana kwamba, Serikali iliposema subirini kwanza kwa babu ili uchunguzi ufanywe wana jf hao unaowalalamikia walikuwa mstari wa mbele kulalama na akina slaa walishaichukuwa kama ajenda ya mikutano yao..
Yakujitakia hayaumi kaka/dada.
Ushauri wangu, muombe Allah akuepushe na kikombe hiki...
 
Back
Top Bottom