Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,416
- 4,866
kuna duka la bibi mmoja mhindi pale gerezani st kariakoo wanauza ,pia dawa spry zinazotumika kupulizia kwenye vioo vya magari zinaptikaana ,ni duka la kemikali tukwahiyo hiyo chloroform ilitengenezwa kwa matumizi gani na maduka gani
yanayouza