kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Kamati ya Bunge ya hesabu za mashirika ya Umma imekataa kupitisha hesabu za bohari kuu ya dawa ya serikali(MSD) kutokana na kuharibika kwa dawa zenye thamani ya sh bilion 8.
Source:mwananchi.co.tz
my take:hospitali za serikali zinatakiwa kununua dawa MSD pekee na mara nyingi ukiuliza kwa nini dawa hazipo utaambiwa hata MSD hazipatikani,sasa hii midawa ya bilioni 8 inafanya nini huko?
MSD lazima wapate washindani ili kuondoa ukiritimba.
Source:mwananchi.co.tz
my take:hospitali za serikali zinatakiwa kununua dawa MSD pekee na mara nyingi ukiuliza kwa nini dawa hazipo utaambiwa hata MSD hazipatikani,sasa hii midawa ya bilioni 8 inafanya nini huko?
MSD lazima wapate washindani ili kuondoa ukiritimba.