Habari zenu wanaJF. Hivi mama mjamzito anaruhusiwa kumeza dawa za minyoo aina ya Albendazole? Madaktari naombeni ushauri wenu.
Dawa zipi mkuu zinazoruhusiwa mjamzito apewe? NB: Mimba ina miezi 5.hi. anaruhusiwa ila ni baada ya mimba kutimiza miezi mitatu
Dawa zipi mkuu zinazoruhusiwa mjamzito apewe? NB: Mimba ina miezi 5.