Prime Dynamics
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 551
- 248
Jamani naomba kuuliza madawa ya kulevia yakikamatwa yaonyeshwa kwenye vyomba vya habari. Je mbona hawaonyeshi yakiteketezwa? ni bangi tu ndio inaonyeshwa ikiteketezwa mashambani. cocaine na heroin zikikamatwa airport zinapotelea wapi?